Maguge Maguge
JF-Expert Member
- Sep 1, 2016
- 2,734
- 1,778
ingia play store, andika neno Jamii forums itatokea alama (symbol) ya Jamii Forums halafu install, halafu ukimaliza rudisha simu kwenye hali ya kawaida fungua menu, nenda kenye ile alama ya JF. iguse, ikifunguka pale juu andika jina la mtumiaji, pale chini weka neno la siri kisha fungua.Waambieni mods watoe haya majiti kwenw picha zetu basi.
Afu hii threat ni ya chit chat sio ya hapa hii
hivyo vijiti hutaviona na utaona jamii forum mpya, nzuri!!
hivyo vinakuja kwa sababu unatumia browser ya kawaida badala ya application ya jf.