Miss Natafuta...

Acheni kumchokoza mdada wa wa2,binafsi huwa napenda sana uandshi na utani wa Miss natafuta a.k.a mamaaaaaaaa wa mitongozo.Kumbukeni kila mwanadam yupo Duniani kwa kusud la Mungu na cyo kwa kusudi la mwanadam na hatuwez ku-behave the same
 
Nnachoelewa kuhusu fake identities, wengi tunatumia kua opposite na tulivyo kwenye maisha halisi.
Unaweza kuta mtu kwenye maisha hana miguu lakini akija huku anakua mcheza mpira wa miguu! Au mtu kila uzi ana lugha mbovu na kutukana ila kwenye uhalisia ni mpole na church boytena ai muongeaji kabisa.
Sijui kwanini watu wanachukuliaga watu serious kwenye sehemu kama JF!
 
Laiti wote wangelijua hili tusingegombana
 
[emoji106] [emoji106]
 
Yaani huyi dada ananipa majaribu sana na avator zake. Tena hii mpya aliyoiweka naenda CHAPUTA mara. Mi naomba aindoe tu kama anaheshimu hisia za wengine
 
Inaonekana unapenda sana kesi utakuwa mchagga wewe..!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…