Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
TATIZO MKUU WENGI HUMU WATOTO WADOGO MKUU .WAMEKREM MAISHA.BAHATI NZURI NAJUANA LIVE NA BAADHI YA WATU HUMU WANANIJUA JINSI NILIVO . HUMU HAKUNA UHALISIA WOWOTE ULEHauko sahihi!
humu watu wengi hawaishi uhalisia!
mara nyingi katika social media watu wanaweza kujiachia labda kwa jokes au kuelezea hisia zao bila ya vidhibiti, lakini unaweza kushangaa ukikutana naye ni mtu very descent!
jukwaa kama hili often watu huwa wanataka ku-relax, wanajiachia na hawana haja ya kufikiri wanapoandika kama wanafanya pepa la namba!
chukulia hata matusi, kebehi na maneno ya kijeuri unayoyaona humu kuwa ni sehemu ya socialization isiyokuwa na uhalisia!
kiufupi humu JF ni kama kufumania utupu wa akili za watu.... yaani akili zetu hatuziveshi nguo kwa kuwa tunahisi hatujulikani...!
hata wewe, Akili yako ya hapa (JF) sio sawa na akili ya physical wewe, kwa wanaokufahamu...!