Miss Natafuta...

hivi unadhani nikiwa na nyege nitakuja humu jf ? yaani ungejua navopendwa kitaa acha kabisa
 
Ndiyo kusambaza injili ya bwana pasipo ubaguzi wa aina yoyote.

Amin amini nakuambia aisifuye mvua imemnyea na amtekenyae mpenziye kwa kidole gumba basi ataonja utamu wa kikojoleo.
Husna muba umempeleka wapi mkuu?Kwa nini siku hizi analia kama kifaranga ambae hana mama?[emoji30] [emoji30] [emoji30] umemfanyia nini?
 
Husna ni rafiki yangu tuliyekuwa wapenzi... sidhani kama analia maana nilikuwa naye muda sio mrefu analilia wapi huko mkuu!
Wewe ni mbaya kama kuku aliemfukuza kifaranga wake![emoji30]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…