Miss Natafuta...

Mtafuta kiki tu huyu..! Alianza na nyuzi zake za ufuska alipojulikana sasa hivi anapambana kumoderate jina limegoma. Mimi huwa namchukulia mdada mmoja mpuuzi na mshenzi sana.
nani anakujali kwamba unampenda au unamchukia?
kwamba ni fuska au sio fuska/
kwamba ni mpuuzi au sio mpuuzi
au ni mshenzi au sio mshenzi?
nakula kwako ? hapana. nalala kwako.hapana.nilishawai kukuomba kitu? hapana listen man sijali unaniwazia nini ,kwasababu hata haupo kwenye fikra zangu
ushauri tu wa mwisho wacha kudandia magari yasiyokuhusu am not your type .!Nadhani usawa huu ni kumpenda anayekupenda, unayempenda miyeyusho tu
 
Nilisha kudharau mida, nyambafu eti siyo type yangu ndiyo kwani uongo[emoji23] [emoji23] [emoji23] mimi sibebi sagurasagura..! Kiufupi siwezi kuendesha mjadala wowote nawe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…