Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Majanga.... kumbe eti tayari ana mtoto!!!
Mimi ni mdau wa elimu,naomba kujifunza kitu hapa.
Miss Tanzania wa mwaka 2014 Sitti Abbas Mtemvu anadai ana umri wa miaka 18 na ana elimu ya shahada ya uzamili (Masters).
Jaman kwa namna ipi na kivipi inakuaje nisaidieni.Inachukua miaka 18 mtu kupata masters.Ina maana alianza shule na miaka 0, hata kama kasoma ulaya naomba kueleweshwa hapa kidogo.
Miss world mwisho wa age limit ni miaka 24. Lundenga atalinywa hili.
Not yet, mpaka mkome nchi imeoza kabisa hii.
the necked truth is better than the best dressed lie:msela:
Mods please. We have had enough of this.
Ayaaaa weeee daaah!
Huyu binti atakuwa anatamani ardhi ipasuke apotelee humo.
Hahahahaaaa......
Unajua hizi zama ni vigumu sana kudanganya mambo kama ya umri na mengineyo huku uko active kwenye social media.
Comrade,
Enzi zetu kudanganya ilikuwa rahisi. Hivi sasa ni ngumu sana. Unaweza kuumbuliwa na mwanao!!
Huyu binti ana wakati mgumu sana. Ila nampongeza kwa uvumilivu.
the necked truth is better than the best dressed lie:msela:
not yet!
Hujaelewa labda, kwenye mashindano hayo aliyoshindishwa mwaka huu inasemekana ana miaka 18. Umri wake wa ukweli ni 25, ambapo asingeweza kushiriki kwa sababu limit ni 24yrs.
Mods please. We have had enough of this.
Hujaelewa labda, kwenye mashindano hayo aliyoshindishwa mwaka huu inasemekana ana miaka 18. Umri wake wa ukweli ni 25, ambapo asingeweza kushiriki kwa sababu limit ni 24yrs.