Miss Reds Tanzania 2014 Sitti Mtemvu kazi anayo, Umri wake utata mtupu


Let's wait n see
 
Tutake radhi acha kuita watu vichaa mbona kila kitu kiko wazi kabebwa hadi kila mtu kashtukia kupewa taji

hahahahahahahaha hahahahahahahah,, wewe na Ruta mmefanana akili.

Mtanichosha tu. G9t.
 
Last edited by a moderator:
wait nakuja na thread kabambe iliyojaa ukweli wa kutosha kumsafisha malaika huyu

Ha ita change chochote evidence ziko wazi vigezo hakuwa navo kabisa vya kuwa miss angekua navo hata watu wasi ngeongea kwahyo na passort alifoji kwa ajili gani jipange vzuri kabisa kumsafisha huyo kashapata gundu tayari akubali tu aachie miss world no favouratism
 
What is BEING bullied,.?

Yes, she is being bullied.

Why did you not send ur dada who qualified the age CATEGORY.

TO CONTEST.

mwisho wa siku wote hapa mwaonekana wanafki.

Acha kujiaibisha (wala sikuiti mkuu), to be honest unaandika pumba tupu, hasa hapo kwenye 'send your dada'.

Do you mean wewe una justify usahihi wa hoja yako kwa kuwa uli send your dada?
 
hahahahahahahaha hahahahahahahah,, wewe na Ruta mmefanana akili.

Mtanichosha tu. G9t.

Hoja yako ni hipi?
Ni kweli akili zetu zina fanana!
Unacho nifurahisha huna hoja ya msingi!
Nakuomba kama unayo uweke hapa!
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…