Miss Reds Tanzania 2014 Sitti Mtemvu kazi anayo, Umri wake utata mtupu

Miss Reds Tanzania 2014 Sitti Mtemvu kazi anayo, Umri wake utata mtupu

Kudadek akiwachakachua na miss world lazma awe mshirikina

huko hakuna ujinga huo hapa babu lundenga ndo anaendekeza, ila huyu kavunja rekodi 18 years ana masters ana watoto wawili na ni miss...kudadadeki!!!
 
Ukisikia mambo na vijambo ndio hivi vya miss tz.ana toto jeba ivyo!?
 
it could have been ma young sister. shame on u lundenga and your useless n good for nothing miss Tanzania committee
 
Kumbe lengo lako ni kumsafisha? Amechafuliwa na nani hadi umsafishe? Ajichafue mwenyewe kazi ya kumsafisha uchukue wewe?

kadhalilishwa kua ni muongo kitu ambacho si kweli
 
Safari hivi hata sikuangalia nlikuw nakula gamble tu uu
to hell with miss tz
 
We mbona hujampeleka dada yako asie na mtoto akashiriki. ?

Nakuhifadhia tusi.
Umri umepita :thumbdown::thumbdown::thumbdown::thumbdown::thumbdown::thumbdown::thumbdown::thumbdown::thumbdown::thumbdown::thumbdown::thumbdown:
 
hahahahaa..! Watanzania ni watu wa kulalama tu.

Ok. Umegundua kwamba there is faking, na unajua kabisa kwanini kuna faking.

Swali. Are u ready to make a difference? Coz either u or ur parents must have faked somewhere mpaka leo wajimwayamwaya hapa.
Take care. Una jicho la TATU.,??

we mchepuko wa sitti kelele hapa
unatetea uozo kisa amefanya kipozeo chako
acha kutetea ujinga na tutamdiscuss vizuri tuuuuu
tunamsambazaaaaaaaaaaaaa
na muonr haya matapeli wakubwa
 
Napenda siku wazungu waje wagundua KIFAA CHA KUPIMA MIAKA YA MTU maana tunadanganywa sana na huku mtaani.

Mkuu, kifaa kipo ila inabidi kina Lundenga walipie, nahisi mkemia mkuu wa serikali anaweza kuwa nacho, kinatumia "Carbon-14" kujua umri wa binadamu.
Labda tuombe kitumike kwa ajili ya mamiss wetu Tz. Kwa hili kamati ya Lundenga isipobatilisha na waTz tukakaa kimya basi ndio proof yangu ya mwisho kujua tumerogwa na aliyeturoga keshakufa.
 
we mchepuko wa sitti kelele hapa
unatetea uozo kisa amefanya kipozeo chako
acha kutetea ujinga na tutamdiscuss vizuri tuuuuu
tunamsambazaaaaaaaaaaaaa
na muonr haya matapeli wakubwa

Ha ha lazima akitetee kipozeo chake kili cho bugi ku cheat miaka akasahau vigezo muhimu
 
Back
Top Bottom