Miss Reds Tanzania 2014 Sitti Mtemvu kazi anayo, Umri wake utata mtupu

Lazima atamkana tu huyo mtoto!Aibu yao!kubania tu wenzao,ptuuu!
 
Watu mpaka wanataka watume email huko majuu
 
Say my name bby, Lundengaaaa
Say my name bby, Lundengaaaa
Say my name, Lundengaaaa
Yo smart, Yo beautiful, yo loyal yo next miss Tz! ! .....
Go in my hotel room and take off ua clothes and make me happy..
I will make u famous
 
We mbona hujampeleka dada yako asie na mtoto akashiriki. ?

Nakuhifadhia tusi.
 
Acha kujiaibisha (wala sikuiti mkuu), to be honest unaandika pumba tupu, hasa hapo kwenye 'send your dada'.

Do you mean wewe una justify usahihi wa hoja yako kwa kuwa uli send your dada?

hahahahaa..! Watanzania ni watu wa kulalama tu.

Ok. Umegundua kwamba there is faking, na unajua kabisa kwanini kuna faking.

Swali. Are u ready to make a difference? Coz either u or ur parents must have faked somewhere mpaka leo wajimwayamwaya hapa.
Take care. Una jicho la TATU.,??
 

Bro u made my day... ila huyu dada nahisi atakuw amesoma kwa cstm ya cambrige... c bure maana hiyo speed aliyotuonesha hata ukisoma kila mwaka kwa kuruka darasa moja still huwez fka masters in 18 yrs hata kama ukianza kusoma ukiwa na mwaka m1...
 
Kwahiyo mlitaka huyu nae ale ma donge na masinando aharibu kizazi. Ajitangaze kama huyu nani sijui,,

STUPID.
 
hahaha miss atakuwa huyu? arudishe taji. ameidharirisha nchi....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…