Baba Joseph17
JF-Expert Member
- Jul 15, 2013
- 9,517
- 9,762
kadhalilishwa kua ni muongo kitu ambacho si kweli
Hii ni aibu kubwa kwa familia yake pamoja kamati nzima inayohusika na uandaaji wa mashindano ya umiss.
Inakuwaje hadi wakati huu wa karne ya 21 wapo watu wanaofanya mambo kijima?
Hivi walishindwa nini kuthibitisha taarifa za wasichana hao kipindi wanaomba kuwania umiss! Tena njia zipo kemkem?
Huu upuuzi wa kuwa na watu vilaza ambao wamekabidhiwa mamlaka nyeti tutauendekeza mpaka lini!
Kwanza huyo msichana sura yake tu nilipoiyona niliitilia shaka. Sura inaonyesha kabisa ana zaidi ya miaka 25 ila bila aibu yeye anajitangaza kuwa ni teenage! Mpuuzi kweli huyo binti.
hahahahaa..! Watanzania ni watu wa kulalama tu.
Ok. Umegundua kwamba there is faking, na unajua kabisa kwanini kuna faking.
Swali. Are u ready to make a difference? Coz either u or ur parents must have faked somewhere mpaka leo wajimwayamwaya hapa.
Take care. Una jicho la TATU.,??
Hehehe dah!
Sasa baba mwenyewe ni CCM mnategemea nini?
Na cha kushangaza kuna watu wanamtetea kabisa eti kwa sababu kila kitu fake siku hizi hivyo na hili kwanini linashupaliwa. That is how low we have stooped as a people. Mpaka uongo unaonekana hauna tatizo kabisa.
Hii ndiyo Jamhuri ya muungano wa Tanganyika na Zimbabwe !
Utashangaa sana!
Ha ha lazima akitetee kipozeo chake kili cho bugi ku cheat miaka akasahau vigezo muhimu
watu wanahisi tuna chuki hamna ishu ni kwamba tunafatilia hivi vitu hata km havina maadili ndo mfumo umesharuhusu viwepo so tunaviangalia
ila mwakani hawanioni tena kupoteza mda wangu mwaka huu ndo nami nimehitimu
uwepo wake hauniathiri wala kutokuwepo hakuniathiri
mi kantibua jitu zee limeniweka hadi saa sita
Yaan huyu miss ana kazi ametosha aisee
najiuliza, why her.!? Au kwa vile nafasi ya baba yake.? Kuna siasa hapa.
Bro u made my day... ila huyu dada nahisi atakuw amesoma kwa cstm ya cambrige... c bure maana hiyo speed aliyotuonesha hata ukisoma kila mwaka kwa kuruka darasa moja still huwez fka masters in 18 yrs hata kama ukianza kusoma ukiwa na mwaka m1...
Ila mama yake mzazi kashakiri kuwa mwanae kazaliwa 1985 mwezi wa 5 na kwa sasa ana miaka 29 na ana watoto wawili huyo SITI MTEMVU
Hivi hakuna namna ya kuiriopot Miss world? tena.zinatumwa na evidence zote
Waliniuzi nilipoteza mda wangu bure cha kushangaza mwanzon kabla hawajapita kuna mmama alipanda na bahasha ya washindi nikajiuliza ina maana majaji wamejuaje mshindi na akienda miss world lazima watu wamchongee na Tanzania ifutiwe ushiriki kama ile team ya under 17
ushahidi mwingine huu hapa,ana mtoto(amekiuka masharti) ,pili umri wa mtoto its about 8 years..... so alizaa wakati ana miaka 10?plus MASTERS....ama kweli haya ndo maajabu ya Uncle Lundenga under the influence of Mzee Mtemvu