Sidhani kama wataweza kudhamini tena bora waende wakadhamini matamasha ya ngoma huko chuo cha Bagamoyo.Kampuni yoyote yenye hadhi kubwa nadhani hawataweza dhamini kutokana na hii skendo.
Mkuu yaan tungekuwa tunakomalia hivi na masuala ya kitaifa kama katiba na ufisadi serekalin ingekuwa poa sana, ila ndo "BASI TENA"!
Kuna mwingine naye ni memba humu, yeye kila siku hakui.
Jamani mbona najionea mauzauza hapa, Miss Tanzania ana mtoto, kigezo kimojawapo cha kugomea umiss unatakiwa uwe hujaolewa wala hujazaa, sasa hapa ikoje wadau
Kwahyo unataka watu tu comment unachotaka we kakomalie kujadili hayo na sisi tu discuss haya kwanza umekosea njia hi ni celebrity forum hafu utuwekee comment zako za msingi ulizo jadili za kitaifa ndo urudi hapa ku jaji
Kwahyo unataka watu tu comment unachotaka we kakomalie kujadili hayo na sisi tu discuss haya kwanza umekosea njia hi ni celebrity forum hafu utuwekee comment zako za msingi ulizo jadili za kitaifa ndo urudi hapa ku jaji
Kuna watu wana shobo humu
kujifanya wao ndo 'john visomo'
Ila mama yake mzazi kashakiri kuwa mwanae kazaliwa 1985 mwezi wa 5 na kwa sasa ana miaka 29 na ana watoto wawili huyo SITI MTEMVU
Mkuu yaan tungekuwa tunakomalia hivi na masuala ya kitaifa kama katiba na ufisadi serekalin ingekuwa poa sana, ila ndo "BASI TENA"!
Weeee, lazima tutaandamana na mbango tele akwendeeeeeee, anatuwakilisha ati hujasikia ni Miss Tanzania? kwa nini asituhusu sisi wanazania? waambie wabadili title wamuite miss lundenga au miss mtenvu uone kama tutamjadili. Unaelewa kwanini hatumuhitaji kwenye hilo kwa kuwa ni muongo na wewe kujifanya unajua ya maana anza kuandamana kuhusu hizo escrow , sie tuliandamana kwenye key board na vidole kuhusu rich mond na matunda uliyaona.mkuu hapa watu hata ukiwaambia kesho waandamane kumpinga huyu "miss ajuza" watajimwaga barabarani tena kwa wingi hadi utashangaa! unakumbuka jinsi watu waliandamana kupinga vita ya palestina na israel!? Ila waambie mambo ya msingi yanayoligusa Taifa na maisha yetu Kama Katiba, Escrow, Ujangili, Epa, Richmond, Kupanda Hovyo Kwa Bei Ya Umeme! Hutawaona na sanasana watakuambia mie sifatilii siasa!
Wale wenye uchu wa kuwa washindi wa
Miss Tanzania Mwaka 2015 Mwenzenu
ameshawaonyesha mbinu inaitwa
CONFUSE THE JUDGES!! Jifunze
Kichina muda ukifika
KAMUA JUKWAANI hata kama
umewatukana ukoo wao mzima kwa
kichina UTASHINDA..