Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,916
- 43,505
Sidhani kama wataweza kudhamini tena bora waende wakadhamini matamasha ya ngoma huko chuo cha Bagamoyo.Kampuni yoyote yenye hadhi kubwa nadhani hawataweza dhamini kutokana na hii skendo.
Masharti ya shindano hili msichana hatakiwi kuzidi umri wa Miaka 23!