Kuna watu wana shobo humu
kujifanya wao ndo 'john visomo'
18yrs of age
Minus 2yrs masters 3yrs bachelor = 13yrs of age
Minus 6yrs secondary education = 7yrs of age
Minus 7yrs primary education = 0yrs of age
Minus 2yrs nursery school = -2yrs of age
Minus 3yrs ya kugrow at hom kabla ya nursery xcul = -5 yrs of age
So ur friend jus conjured a new miracle,, alianza kusoma 5yrs kabla hajazaliwa
Huyo ni Miss Tz wetuuu...
Bado tu wanamwandama miss tz
Tumalize mjadala hivi, hatutawakilishwa mwaka huu (sina uhakika maana sijui hiyo miss World inafanyika lini maana nimependa uchambuzi wa miaka) ila tumpe Lundenga ajipange upya ili ajirekebishe ubazazi wake.
Jamani si ndio kama hivi? Au mlitakaje? Jamii Forums inasomwa dunia nzima watanzania wameshafanya kazi yao ya kuweka ushahidi, mamlaka zinazohusika ndio zitachukua hatua
Mjadala uishe ili mueendelee kula pesa za watanzania?
Hivi hauoni kuwa inabidi ashuahe taji ilo ndipo aachwe na huyi kudenga nae asepe.
Wamezoea kuchakachua, za mwizi 40.
Eti abadilike abadilikie nini tena wamvue apewe anayefuata.
Always small mind discusses people.
Always small mind discusses people.
Always small mind discusses people.
Haya mashindano ya Miss Tanzania yemezikwa rasmi..
Haya mashindano ya Miss Tanzania yemezikwa rasmi..
Mimi ni mdau wa elimu,naomba kujifunza kitu hapa.
Miss Tanzania wa mwaka 2014 Sitti Abbas Mtemvu anadai ana umri wa miaka 18 na ana elimu ya shahada ya uzamili (Masters).
Jaman kwa namna ipi na kivipi inakuaje nisaidieni.Inachukua miaka 18 mtu kupata masters.Ina maana alianza shule na miaka 0, hata kama kasoma ulaya naomba kueleweshwa hapa kidogo.
I think people should stop keep on complain and send their queries to the management of those who are responsible in preparation of MISS WORLD through this link.... Contact
Natamani watu waijue hii link
Mi nishatuma ctakiujinga kabisa
Natamani watu waijue hii link
Mi nishatuma ctakiujinga kabisa