Miss Reds Tanzania 2014 Sitti Mtemvu kazi anayo, Umri wake utata mtupu


mm napita ndio mambo ya kanda maalum hata mbinguni tuko na kanda maalum
 
Tumalize mjadala hivi, hatutawakilishwa mwaka huu (sina uhakika maana sijui hiyo miss World inafanyika lini maana nimependa uchambuzi wa miaka) ila tumpe Lundenga ajipange upya ili ajirekebishe ubazazi wake.
 
Tumalize mjadala hivi, hatutawakilishwa mwaka huu (sina uhakika maana sijui hiyo miss World inafanyika lini maana nimependa uchambuzi wa miaka) ila tumpe Lundenga ajipange upya ili ajirekebishe ubazazi wake.

Mjadala uishe ili mueendelee kula pesa za watanzania?

Hivi hauoni kuwa inabidi ashuahe taji ilo ndipo aachwe na huyi kudenga nae asepe.

Wamezoea kuchakachua, za mwizi 40.

Eti abadilike abadilikie nini tena wamvue apewe anayefuata.
 
Jamani si ndio kama hivi? Au mlitakaje? Jamii Forums inasomwa dunia nzima watanzania wameshafanya kazi yao ya kuweka ushahidi, mamlaka zinazohusika ndio zitachukua hatua

Kuweka ushahidi kwny forum haitoshi pia lazima upelekwe kwenye sehemu husika,,,,, though sijui kama tz inatumia electronic recods as evidence!!
 
Mjadala uishe ili mueendelee kula pesa za watanzania?

Hivi hauoni kuwa inabidi ashuahe taji ilo ndipo aachwe na huyi kudenga nae asepe.

Wamezoea kuchakachua, za mwizi 40.

Eti abadilike abadilikie nini tena wamvue apewe anayefuata.

Mkuu chill kidogo, unaweza kushangaa anayepewa hilo taji baada ya huyo bint Mtemvu kunyang'anywa naye ni muongo hivyo hivyo.
 
Always small mind discusses people.

i think people are discussing issues here,very serious issues and not SITTI personally but u cant avoid involving her since those issues are about her. im sure ur smart enough to see there is FRAUD/FORGERY/SCANDALS and probably CORRUPTION involved here. Someone was denied her right to be miss tanzania by those issues.
 



I think people should stop keep on complain and send their queries to the management of those who are responsible in preparation of MISS WORLD through this link.... Contact
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…