KALI YA MWAKA KUHUSU MISS TANZANIA 2O14
Miss Tz 2014 ana miaka 18... Ana Masters!!!!Piga hesabu:Miaka 7-PrimaryMiaka 4-O levelMiaka 2-A levelMwaka 1-Masters
Miaka 3-1st Degree
Kwa hiyo alianza shule akiwa na mwaka 1...
Mbona simpo karuka vidato kutokana na iq yake kubwa.miaka 4 badla7 .2bdla ya 4.neva suprise
Au labda alimaanisha amenza kusex akiwa na miaka 18
hao miaka 23 kiuhalisia wana 35
Ccm bwana wanachakachua mpaka kwenye umiss yaani tanzania ni noma masikini anakabwa kila kona yaani hapumui !!! Ccm ni shiiiiidaaaaa
ana miaka 18 na ana masters...
KALI YA MWAKA KUHUSU MISS TANZANIA 2O14
Miss Tz 2014 ana miaka 18... Ana Masters!!!!Piga hesabu:Miaka 7-PrimaryMiaka 4-O levelMiaka 2-A levelMwaka 1-Masters
Miaka 3-1st Degree
Kwa hiyo alianza shule akiwa na mwaka 1...