Miss Reds Tanzania 2014 Sitti Mtemvu kazi anayo, Umri wake utata mtupu

Miss Reds Tanzania 2014 Sitti Mtemvu kazi anayo, Umri wake utata mtupu

Wampe Jihani ilo taji au miss Arusha mwenyewe hana vigezo na umri kadaganya huku kubebana si ajabu akafoji cheti cha kuzaliwa bongo kila kitu kinawezekana
 
Anyang'anywe taji kwa kudanganya au kwa kuwa na miaka mingi? Kwani miss anatakiwa awe na miaka mingapi?

Mashindano yenyewe ni ujinga mtupu. Kuna taarifa japo hazikathibitishwa kua watoto wa kike katika mashindano haya watumika zaidi kingono. Kwa kashfa kama hii Lundenga alitakiwa ajiuzuru.
 
pambafu nendaaa huko usitufanye sisi mazuzu alaaa .......kwanza inawezekana wewe umerudia rudia madarasa mpaka sasa unatumia jina la jilan yako..

Achana nalo jinga hilo usikute Mama yake keshauzwa Uarabuni na Mtemvu kwenda kuchezea zakari za Waarabu.
 
Achana nalo jinga hilo usikute Mama yake keshauzwa Uarabuni na Mtemvu kwenda kuchezea zakari za Waarabu.

hahahahha mkuu linajishaua eti tumezoe elimu za kimaskin ebu atulete hiyo yake ya 18 wanamliza Master.
 
Kwani Wema alipokonywa? mnajisumbua hapokonywi mtu Taji labda angekuwa mtoto wa mkulima
 
18yrs of age
Minus 2yrs masters 3yrs bachelor = 13yrs of age

Minus 6yrs secondary education = 7yrs of age

Minus 7yrs primary education = 0yrs of age

Minus 2yrs nursery school = -2yrs of age

Minus 3yrs ya kugrow at hom kabla ya nursery xcul = -5 yrs of age

So ur friend jus conjured a new miracle,, alianza kusoma 5yrs kabla hajazaliwa

Huyo ni Miss Tz wetuuu...
Bado tu wanamwandama miss tz

Hahaaaa yaani hii analysis yako imenipa raha sana..hebu chukua masters ya upekenyuzi na wewe
 
Aisee labda Alichanganya tu badala ya 28 akasema 18.
 
Hii ya 2014 imeaibisha kabisa na ndio imekuwa maarufu kuliko zote.
LUNDENGA jiuzulu majukumu hayo ila kwa jinsi ilivyo hata apate kashfa gani hawezi kujiuzulu na ndio maana Mashekh walimwambia Lundenga unayoyafanya Duniani ni uchafu kwa Mungu kutokana na Imani yako ya Kiislam na ukikazana na hayo mambo utakuja zikwa nahao mamiss.
Lundenga akasema acha wanizike kwani kuna nini.
 
Kweli sasa nimeelewa ndio maana mbuta nanga alisema mwakani anakuja kushiriki....maana hapo alivyojaa bora mbuta nanga...

ImageUploadedByJamiiForums1413402885.260153.jpg

Ndo manakeeeeeeee..miss tz 2015
 
Nauliza Mkuu wa kaya ana PhD ya kusomea kweli? au alipata ya Heshima kama nijuavyo mimi.
Isije ikawa huyu Miss nae ana Bachelor na Masters zote za heshima hahaaaaa
 
Back
Top Bottom