Mashindano hovyo kabisaaaaaa sijawahi ona hii loh hatari
Hivi hayo maswali huwa wanakalilishwa ama?
mkuu upo na wewe? nategemea kuyaona hayo maswali hapa..
vipi majibu yao.
mabinti wakibongo now days wako butu kweli kweli
hahaha unataka ukamate fursa kabla mapedejee hawamdaka
Umeona eeee watu hawakitaki kiswahili jamanii
Jokate anajigeuza geuza lo umalaya huuu
nikimuona omary nyembo nakumbuka picha yake kabla haja mjini nacheka tu hapa
aaa kifrench kimetoka wapi tena?
Umeona eeee watu hawakitaki kiswahili jamanii
Jokate anajigeuza geuza lo umalaya huuu
nikimuona omary nyembo nakumbuka picha yake kabla haja mjini nacheka tu hapa
Hahahhhaa aaahh wapi!!!!!...mtu______asione hii
Umeona eeee watu hawakitaki kiswahili jamanii
Jokate anajigeuza geuza lo umalaya huuu
ndo mshindi huyooo!!
Miss Karatu imeniuma sana baada ya kutoswa..Nilikuwa najua yeye ndo atachukua taji...
mmh uweza kukuta wewe una wanaume wengi zaidi yake sema wewe hatuesabu kwa kuwa sio star ila yeye kila anaye date naye mnajua
shem kuna watu wanapendaga tu kuchafua wenzao????????
Na mimi nasubiri jibu shem