Miss Tanzania 2014 live Star TV

Miss Tanzania 2014 live Star TV

oluku

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2013
Posts
350
Reaction score
71
Jamani wadau wapenda ulimbwende kazi kwenu ndo muda wenyewe. Star tv wanaonyesha moja kwa moja mashindano haya.
=================================

MMGM0202.jpg

kwenye ukumbi wa Mlimani City,jijini Dar es Salaam.Sitti Mtemvu alianza kwa kunyakua Redds Miss Chang'ombe na baadaye Redds Miss Temeke Hatimae Miss Tanzania. Sitti ni binti wa Mbunge wa Temeke, Mhe. Abbas Mtemvu.

mw15tz2.jpg


IMG_6871.jpg
IMG_6869.jpg

Kati ya washiriki 30 wa Redds Miss Tanzania..Sitty Mtemvu ndiye aliyenyakuwa taji hilo akitokea wilaya ya Temeke.

Ushindi huo unampatia zawadi ya sh 18 Milioni.

Wakiwa Jukwaani wakati wa shindano hilo la Redds Miss Tanzania 2014 hakuna hata mshiriki mmoja kati ya watano waliofanikiwa kuingia kwenye tano bora aliyejibu swali kwa lugha ya Kiswahili..wote walitumia lugha ya Kingereza na mshiriki mmoja kutumia lugha mbili ya Kingereza na Kifaransa

Wanaharakati mbalimbali nchin wanafanya juhudi za kukuza na kueneza lugha ya Kiswahili ndani na nje ya bara la Afrika cha ajabu sisi wenyewe Watz tumekuwa tukikionea aibu Kiswahili kukizunguza ktk majukwaa mbalimbali kama Miss Tz.

My take.

Jamani Tanganyika tuikatae,hata Kiswahili pia tukikatae?


 
Nipo kwenye tv hapa naangalia live,tuungane hadi mwisho
 
Hakuma kulala....ila aliemfanyia make swauda mh....sijui kam bandika tu au...hajapendeza kabisa kw upande wng
 
Hakuma kulala....ila aliemfanyia make swauda mh....sijui kam bandika tu au...hajapendeza kabisa kw upande wng

Acha papara kuandika, tulia uandike vizuri bila makosa na kuharibu maana ya unachoandika

Hakuma!!!!
 
Hakuma kulala....ila aliemfanyia make swauda mh....sijui kam bandika tu au...hajapendeza kabisa kw upande wng

Huyo dada hajawahi kupendeza cjui tatizo huwa ni nini...ila nampenda tu tabia yake hana makuu kabisa maskini dada wa watu..
 
Preta acha basi kwa muda hiyo BBA njoo huku tuwatch miss bongo. Heaven on Earth. atoto mje bana

Nasikia kuzimia........nipo nimekwama kwenye foleni kutokea hapa Mianzini na naelekea Kimandolu........na sioni dalili ya kuwahi.......
Huu mji wanatakiwa waweke TV za barabarani ili matukio kama haya yasitupite 😒😒😞
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom