Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mrembo mmoja sijajua jina lake amejibu swali kwa kiingereza kibovu mithili ya kile kilichozungumzwa na wagombea ubunge wa Bunge la Afrika Mashariki mwaka 2011.Aliulizwa swali kuhusu umuhimu wa sekta ya utalii katika uchumi wa nchi,akasemaaa...The tourism sector contributes income about 16%...(aka-pause kidogo i.e.alisahau jibu,si unajua wamekariri?) then akaendelea...contributes income about 16% "exchange foreign"....yaani chochote alichosema kwa kizungu ni broken mwanzo mwisho
yaani makusudikally kabisaa umeamua kutuchanganyia madesa hivi hivi
Hahahaha as I told u, kama sio Mtemvu atakuwa Muhindi nothing new
Subiri niangalie unaelingana nae thn tumfungulie id BURE awe member jf....
Na password nakupa....
Ama password haunipi?
Haya mashindano mshindi huwa wamempanga miss world watakua wana sindikiza wwengine
kumbe mtoto wa mzee mtemvu...?!!!mbunge wa tmk