Miss Tanzania 2014 live Star TV

Miss Tanzania 2014 live Star TV

Mrembo mmoja sijajua jina lake amejibu swali kwa kiingereza kibovu mithili ya kile kilichozungumzwa na wagombea ubunge wa Bunge la Afrika Mashariki mwaka 2011.Aliulizwa swali kuhusu umuhimu wa sekta ya utalii katika uchumi wa nchi,akasemaaa...The tourism sector contributes income about 16%...(aka-pause kidogo i.e.alisahau jibu,si unajua wamekariri?) then akaendelea...contributes income about 16% "exchange foreign"....yaani chochote alichosema kwa kizungu ni broken mwanzo mwisho

Huu Ulimbukeni wa Kukinyanyapaa Kiswahili na kuona anayezungumza Kingereza ni Msomi sijui utakwisha lini? Warembo wengi hapa Tz ni malimbukeni sana wao huoni ni Ufahari kuzungumza Kingereza au kuchanganya Lugha ( kiswanglish ) kwa staili hii Kiswahili hakitakaa kiendelee hasa ukizingatia Kuwa Vijana, masela nao wanakobomoa kwa kuanzisha Viswahili vya ajabu ajabu, huku na wabunge nao wakichangia kukitokomeza kwani baadhi Yao ni mabingwa wa kuchanganya Lugha.
 
Haya mashindano mshindi huwa wamempanga miss world watakua wana sindikiza wwengine
 
Hii ndo bongo..matarajio huenda kinyume kabisa.,huyu miss atakua ame meet vigezo vya kisiasa hahaa duh!
 
kalienda OP af kameshinda!!!..Ila mbna kanene sasa!!..mamikono ka fat joe!...
 
Back
Top Bottom