Miss Tanzania 2018: Miss Kinondoni, Queen Elizabeth aibuka mshindi

Duuh cjui wapoje!!! Wanawatoleaga wapi hawa
 
Kwani tatizo liko wapi hapo?
Hii ni kama kurudisha shukrani kwa wateja , huwezi Kuwatunuku wote Bali wachache.
Nachukia sana mashindano ya urembo. Kwajinsi yanavyofanyika siku hizi ni kama kumsaidia kazi shetani. Maana hawa warembo baadaye wanageuka kuwa wauza uchi kwa matajiri.
 
I was there. Mtu akijibu swali bila kubabaika ni kosa?
Lakini, pia tujiulize, wale wengine walistahili nafasi ya kwanza?
Maana Miss Tanzania ni mshiriki wa Miss World moja kwa moja. Je, alieshinda taji ataweza kwenda kushindana huko kwenye Miss World?
Kwakifupi, wote hawakulielewa swali husika, ndio maana huyu alieshinda, ameshinda kwa "confidence" yake lakini siamini kama alishinda kwa uzuri. Najua kuna wadada wazuri sana ambao hawakushiriki kwenye mashindano ya mikoani kwasababu mashindano haya yalichafuliwa na viongozi wa zamani wa Miss Tanzania Organization. Huyu Basila Mwanukuzi ni Kiongozi mpya na ndio mara ya kwanza anasimamia Miss Tanzania Beauty Contest. Naamini NEXT YEAR watajitokeza wadada WAREMBO zaidi na Wenye uwezo zaidi kushiririki. Kwa Mtazamo wangu tu, jana Hamisa Mobetto kama angekuwa anashiriki basi angewashinda wote mapema. She Looked splendid and gorgeous. Thats just my opinion.
 
Miss Tanzania ndiye miss University World Africa.
Huyu hapa





 
Msikilize hapa akijibu swali

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…