[emoji23][emoji23][emoji23]sio kwa kuchezea chance yake Kwa kitu muhimu hivo maisha au Kuna kitu zaidi ya mimba aiseeWadada mnavyopenda hela,,,Kuna mimba huwa hazimezewi p2.. ni sawa na umshauri k lyn ameze p2 kuzuia mimba ya mzee mengi
Maana huyu miss alikuwa ameshajiandaa tayari like one month ago, so Cha mimba nimeshangaaKwanini Basila asiseme miss kabeba mimba matokeo Yake anatoa habari nusu ya kutengeneza speculation na kuishusha hadhi miss TANZANIA kwa kila mtu kuspeculate sababu hizo za utovu wa nidhamu.
Mjinga huyu miss ka ni hivo mume wa mtu una mubebeaje mimba Hadi kyshiktakiwa kutakuwa na evidence tosha aisee. Dah katia aibu shule yake haijamsaidia, ka ni hivo acha apumzike tu mke kaenda kumwagia kitumbua chake miss world haendi na CV kajichafulia maskini na kuhairisha kote chuoni.Nakwambia wamemjaza mimba na tena alikua ni mume wa wenyewe..nyakunyaku mkubwa adi akashtakiwa huko kwenye hiyo miss Tz yao..Sijui atakua ameflash au anayo bado..jinga sana hili limetutia aibu hata matumizi ya ndom pia hajuwii..
[emoji23][emoji23][emoji23]sio kwa kuchezea chance yake Kwa kitu muhimu hivo maisha au Kuna kitu zaidi ya mimba aisee
Kwanini asingesubiri mpaka arudi amubebee hyo mimba maana alikuwa ardhi university akahairisha na mwaka mmoja, pia ma miss wenzake walikuja zaa baada ya kutoka kwenye mashindano, yeye kufukuzwa na kuvuliwa taji kumemtia doa maana ka ni kuzaa bongo hii wanaume wenye Hela huzalisha wanawake wengi bila kujali title. To me huyu kajiharibia flani hivi maana had mwezi uliopita alikuwa anajiandaa kabisa loh.Umiss huwa haudumu. Mamiss wote wanaonekana wamefanikiwa ni sababu wameolewa ama kuzaa na wanaume wenye hela.. sasa miss wa mwaka huu hajataka kupoteza muda.. kabeba mimba ya jamaa yake tajiri mapemaaa na yeye awe na uhakika wa maisha mazuri.
Matajiri wanapenda watotoo.. na yeye miss shule ameshamaliza na umiss ameshaupata.. kinachofata kuijaza dunia tu
Tunaishi nako hapa Kijitonyama ndio maana siku hizi gari limepaki kwao kwenye michongomaMjinga huyu miss ka ni hivo mume wa mtu una mubebeaje mimba Hadi kyshiktakiwa kutakuwa na evidence tosha aisee. Dah katia aibu shule yake haijamsaidia, ka ni hivo acha apumzike tu mke kaenda kumwagia kitumbua chake miss world haendi na CV kajichafulia maskini na kuhairisha kote chuoni.
Ni mgawaji sana au alikataa kugawa?
Kha!kha!,aliwanyima nini??.Isije kua aliwanyima wakaamua kumtosa
Una uhakika??.Km ni kweli tupe ushuhuda hapa.Dada wa watu hakutaka kuliwa kimashara akaamua liwalo na liwe kwanini kuachiwa miwaya wakati ana safari ndefu ya kujijenga kimaisha.
Miss chatuHawa mamiss wembamba tushawachoka tunataka waturudishie miss bantu.
Duh hatari sana hii so dinga kanyang'anywaTunaishi nako hapa Kijitonyama ndio maana siku hizi gari limepaki kwao kwenye michongoma
Utamu ulimzidi akasahauHuyu Miss kilaza kweli dah anabebaje mimba Sasa golden chance never come twice Tena mwanafunzi wa chuo kikuu hajui p2
[emoji23][emoji23]Utamu ulimzidi akasahau
Anavutia akili.Huyo number mbili mbona havutii, nadhani shindalo la miss Tanzania lipate waandaji wapya tu chini ya basila amekuwa anatoa washindi wabovu na nilimuona akimpromote huyu mshindi wa pili probably ana interest naye.
Una uhakika na hayo?Mjinga huyu miss ka ni hivo mume wa mtu una mubebeaje mimba Hadi kyshiktakiwa kutakuwa na evidence tosha aisee. Dah katia aibu shule yake haijamsaidia, ka ni hivo acha apumzike tu mke kaenda kumwagia kitumbua chake miss world haendi na CV kajichafulia maskini na kuhairisha kote chuoni.
Baseless allegationsHuyu Miss kilaza kweli dah anabebaje mimba Sasa golden chance never come twice Tena mwanafunzi wa chuo kikuu hajui p2
Just opinions tu sio Sheria za jamhuri hiiBaseless allegations
Hajamaliza chuo bado.Umiss huwa haudumu. Mamiss wote wanaonekana wamefanikiwa ni sababu wameolewa ama kuzaa na wanaume wenye hela.. sasa miss wa mwaka huu hajataka kupoteza muda.. kabeba mimba ya jamaa yake tajiri mapemaaa na yeye awe na uhakika wa maisha mazuri.
Matajiri wanapenda watotoo.. na yeye miss shule ameshamaliza na umiss ameshaupata.. kinachofata kuijaza dunia tu