Miss Tanzania avuliwa kuiwakilisha Tanzania kwenye Miss World kutokana na utovu wa Nidhamu

Miss Tanzania avuliwa kuiwakilisha Tanzania kwenye Miss World kutokana na utovu wa Nidhamu

Sababu wamezitoa, wanasema kamati ya Miss TZ huwa inakuwa na mkataba na miss mpaka atakapokabidhi taji mwakani kwa miss mpya.

Moja ya masharti wanayopewa no kuhakikisha anafanya kazi zote chini ya kamati hiyo.

Kama atapata matangazo au kazi yenye kuhusisha malipo, sababu yeye ni miss aliye chini ya uongozi kwa kipindi cha mwaka mzima, basi atahitajika kuwahusisha kamati ya Miss TZ ambao wanakuwa na percentage yao maana wao ndio wamemuibua na ndio Wana mkataba nae wa kufanya kazi.

Pia wamesema amekuwa anajihusisha kuzunguka kwenye clubs mbalimbali jambo ambalo ukiwa miss kwa kipindi cha mwaka haupaswi kufanya hayo Bali alipaswa kufanya shughuli za jamii kama kusaidia wazee, watoto, wajane, walemavu nk.

Sasa unakuta yeye anafanya mambo anavyotaka na wakimuonya amekuwa akikaidi maonyo na ushauri wa kamati inayomsimamia.

Unajua hata Ile stika ya miss TZ kwenye gari anaweza kuitoa baada ya kumaliza mkataba akikabidhi taji Ila kwa sasa Hana namna lazima azunguke ikiwa imebandikwa kwenye gari.

So in short wamewekeza mengine mengi pia. Binti anajua ana mkataba Ila tamaa na ujeuri anajiona ameshakuwa maarufu hataki wanaomsimamia wapate Chao wakati ndio wamempa umaarufu na wanategemea wafanye biashara kupitia yeye kwa muda wa mkataba.
 
Sababu wamezitoa, wanasema kamati ya Miss TZ huwa inakuwa na mkataba na miss mpaka atakapokabidhi taji mwakani kwa miss mpya.

Moja ya masharti wanayopewa no kuhakikisha anafanya kazi zote chini ya kamati hiyo.

Kama atapata matangazo au kazi yenye kuhusisha malipo, sababu yeye ni miss aliye chini ya uongozi kwa kipindi cha mwaka mzima, basi atahitajika kuwahusisha kamati ya Miss TZ ambao wanakuwa na percentage yao maana wao ndio wamemuibua na ndio Wana mkataba nae wa kufanya kazi.

Pia wamesema amekuwa anajihusisha kuzunguka kwenye clubs mbalimbali jambo ambalo ukiwa miss kwa kipindi cha mwaka haupaswi kufanya hayo Bali alipaswa kufanya shughuli za jamii kama kusaidia wazee, watoto, wajane, walemavu nk.

Sasa unakuta yeye anafanya mambo anavyotaka na wakimuonya amekuwa akikaidi maonyo na ushauri wa kamati inayomsimamia.

Unajua hata Ile stika ya miss TZ kwenye gari anaweza kuitoa baada ya kumaliza mkataba akikabidhi taji Ila kwa sasa Hana namna lazima azunguke ikiwa imebandikwa kwenye gari.

So in short wamewekeza mengine mengi pia. Binti anajua ana mkataba Ila tamaa na ujeuri anajiona ameshakuwa maarufu hataki wanaomsimamia wapate Chao wakati ndio wamempa umaarufu na wanategemea wafanye biashara kupitia yeye kwa muda wa mkataba.
Pia kaunda menejimenti yake nyingine inayomsimamia kinyume na utaratibu na akaiyambulisha wizarani. Kesi imefika BASATA wakasema aende yeye lakn akina Basila wamesema hataenda
 
Pia kaunda menejimenti yake nyingine inayomsimamia kinyume na utaratibu na akaiyambulisha wizarani. Kesi imefika BASATA wakasema aende yeye lakn akina Basila wamesema hataenda
Yes, bahati mbaya wameshatuma jina la miss TZ namba 2 kwenye kamati ya Miss world. Kwa hiyo hawawezi kureverse maamuzi.

Pia BASATA wanasahau kwamba wao hawasimamii malalamiko yanayotoka miss TZ. Wao wanadeal na maadili kiujumla Ila suala la malalamiko ni level ya wizara maana ndio inasimamia moja kwa moja miss TZ.
 
Yes, bahati mbaya wameshatuma jina la miss TZ namba 2 kwenye kamati ya Miss world. Kwa hiyo hawawezi kureverse maamuzi.

Pia BASATA wanasahau kwamba wao hawasimamii malalamiko yanayotoka miss TZ. Wao wanadeal na maadili kiujumla Ila suala la malalamiko ni level ya wizara maana ndio inasimamia moja kwa moja miss TZ.
Basata wamekosea kuwapangia
 
Pia kaunda menejimenti yake nyingine inayomsimamia kinyume na utaratibu na akaiyambulisha wizarani. Kesi imefika BASATA wakasema aende yeye lakn akina Basila wamesema hataenda
Huyo basila ni witch tu Sasa mtu why wamunyonye mtu na wapate percent kubwa.
 
Kwanini asingesubiri mpaka arudi amubebee hyo mimba maana alikuwa ardhi university akahairisha na mwaka mmoja, pia ma miss wenzake walikuja zaa baada ya kutoka kwenye mashindano, yeye kufukuzwa na kuvuliwa taji kumemtia doa maana ka ni kuzaa bongo hii wanaume wenye Hela huzalisha wanawake wengi bila kujali title. To me huyu kajiharibia flani hivi maana had mwezi uliopita alikuwa anajiandaa kabisa loh.

Amejialibia Maisha maana angeweza kuZaa na hasiudimiwe vile vile na huyo mume wa mtu , wonders shall never end
 
Wivu wa kike tu kwa basila bwana, wanawake huwa tunajuana
Kwahiyo hata Kama kavunja mkataba bado ni wivu wa kike?

Mbona miss aliepita hakufanyiwa hivyo, watanzania jifunzeni kutii sheria na taratibu mnazosaini.
 
Miss Tz wanashindwa kutoa sababu iliyo nyooka. Kwenye page yao ya insta ukiuliza chochote cha msingi wanafuta comment. Saiv mambo yamevurugika wanatafuta visababu visivyo eleweka.
 
Back
Top Bottom