Miss Tanzania: Diana Edward Lukumai ameshinda taji la Miss Tanzania 2016

Mwanza kama mji hawana hatia juu ya hili shindano mwanza wangelaumiwa endapo wasingjitokeza kujaza ukumbi, watu inaonekana wapo wengi shida ni kamati ya maandalizi ambayo hakuna hata mmoja anayeishi Mwanza
 
Wema na yeye amevaa sijui Dera hilo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hivi Jokate kavamia uMC au kaalikwa?..au baada ya kuona show imepoa ndo wamemuomba awape support?
"Show sasa imebamba kinoma noma baada ya kuingia Joketi"
 
Namba 6 anafaa awe miss Tanzania,Siha Pius yuko vizuri sana mtoto huyu
 
mbona hakuna.mkalimani what.if.wengine.hawaelewi.lugha.ya mr india.hapa
 
Huyo Queen Nazir ni mzee Jamani[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Jamani wengine hatuna umeme walioingia top ten ni mamiss wa mikoa ipi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…