Watu wanaharibu sana lugha ya taifa,Mtangazaji/MC wa shughuli muhimu kama hiyo hawezi hata kuongea kiswahili fasaha aibu kubwa.Hawa watangazaji kiboko penye r wanaweka l mi watu waongeaji HVO hunichefua aisee
Na alikuwa na swali jepesi na liko straight kabisa beauty with environment hapana chezea lugha ya kina Richard Turnbull Mwalimu alipowatimua wakaondoka nayoTatizo uoga hufanya maneno yapotee hasa yakuunga unga, sasa huyo wamwisho kapanic baada ya kuona mwenzake kajibu kiuurefu na yeye badala aongee kiufupi tu ndo kaishia njiani.
Ahahahahaha!!!itakuwa mipango ilishasetiwa tayari..maana yuko Vizuri sana yule dadabora ashinde yule kuliko wa mwanza kila kitu mwanza jamani huu mwaka tutakoma
raisi mwanza
miss tz mwanza
makonda nae huko huko Mungu atuepushe kwa kweli
Ngoja tuwasikilize majaji wetu.Hata huyo akishinda yuko poa tu
Yani tangia shindalo lianze watangazaji wanaharibu tu lugha sijui hawajifunziWatu wanaharibu sana lugha ya taifa,Mtangazaji/MC wa shughuli muhimu kama hiyo hawezi hata kuongea kiswahili fasaha aibu kubwa.
Hivi hawa watu wanaoandaa hizi shughuli huwa hawatazami wenzao huko mbele wanafanyaje???hata kama hutofikia huko angalau hata 55% yao sio mbaya.
Mwanza kuna Flora beaty Saloon. Vp hajausika hapo kwaHahaaa hivi hakujiangalia kwenye kioo jamani bora angejipaka poda ya baby Johnson's. Hao wapaka makeup Mungu anawaona wamemfanya mwenzao ka kinyago
acha yaani sitaki kuaminiAhahahahaha!!!itakuwa mipango ilishasetiwa tayari..maana yuko Vizuri sana yule dada
Hii top five kiboko, hafu wakiendaga miss World huwa hawako comfortable wenzao huwa visu na wamekamilka aisee kama Lilian na HappinessNgoja tuwasikilize majaji wetu.
Wao wanaangalia vigezo vingi
bora kale ka kwanza maana kwanza ni 18 na ni bikraWa Mwanza uraia utamuhusu kiaina na Lukuvi atataka kumjua...kwi kwi kwiiii. ila hajanivutia majibu yake kutaka kutalii nchini...ana bahati CD yake ilipiga kazi.
Namba Moja bomba
Hao wengine mmmmh
Kwangu mimi hamna kitu, ilibidi wasitengeneze CD namba tano duh
Kwanini hawakuruhusiwa kutumia Kiswahili kujibu?
Shame on you waandaaji, ndio maana na kidoti mkeup imebuma na wa black suit sijui mc kituko gani. Kidoti ni kuhesabu
Wanapendeza ukilinganisha na mwaka uleWashiriki wa mwaka huu mhhhhh???
Flora ndo kashindwa kabisa kuwapaka makeup ka wamedondoshewa makopo ya foundationMwanza kuna Flora beaty Saloon. Vp hajausika hapo kwa
Mc?
🙂 Dada Miss Natafuta unauhakika hakajawahi kupanda baiskeli??bora kale ka kwanza maana kwanza ni 18 na ni bikra
Hapo angejibu kwa kifupi na kueleweka hata miss world mbona hujibu kwa kifupi na Ku hit point basiNa alikuwa na swali jepesi na liko straight kabisa beauty with environment hapana chezea lugha ya kina Richard Turnbull Mwalimu alipowatimua wakaondoka nayo
bora kale ka kwanza maana kwanza ni 18 na ni bikra
Miss Tz 2016 imebebwa naWatu wanaharibu sana lugha ya taifa,Mtangazaji/MC wa shughuli muhimu kama hiyo hawezi hata kuongea kiswahili fasaha aibu kubwa.
Hivi hawa watu wanaoandaa hizi shughuli huwa hawatazami wenzao huko mbele wanafanyaje???hata kama hutofikia huko angalau hata 55% yao sio mbaya.
Yani tangia shindalo lianze watangazaji wanaharibu tu lugha sijui hawajifunzi
Very interesting yaan kuelezea beauty and environment imemtoa jasho na swali ameshinda nalo almost siku nzima!!! Ukiwakuta chuo sasa.....Hapana mkuu ila huyo Dayana namba 14 hajui kutembea..ubishoo mtupu