Miss Tanzania: Diana Edward Lukumai ameshinda taji la Miss Tanzania 2016

Miss Tz 2016 imebebwa na
*Jokate Mwegelo
*Mwanamuziki Bella
*uwepo wa Hoyce temu & Wema Sepetu
[emoji115] [emoji115] [emoji115] wapewe sifa hao[emoji115] [emoji115] [emoji115]
Pamoja na wadhamini wote
Yani tena Joketi ndo kaokoa Jahaz
 
Hapo angejibu kwa kifupi na kueleweka hata miss world mbona hujibu kwa kifupi na Ku hit point basi
Nina wasiwasi kama huwa wanajaribu hata kupitia video youtube za mashindano yaliyopita ili kujifunza wabongo ni Addict wa Insta na Fb wakati youtube ina kila aina ya mafunzo unayohitaji duniani hapa
 
Hii top five kiboko, hafu wakiendaga miss World huwa hawako comfortable wenzao huwa visu na wamekamilka aisee kama Lilian na Happiness
Kuna warembo wazuri walikuwepo pale lakini hawajaingia top 5[emoji22] [emoji24] roho yaniuma sana hapa. Lakini poa tu ngoja tuwaachie majaji wafanye kazi yao, wao ndo kila kitu wanaujuzi zaidi
 
Kuna warembo wazuri walikuwepo pale lakini hawajaingia top 5[emoji22] [emoji24] roho yaniuma sana hapa. Lakini poa tu ngoja tuwaachie majaji wafanye kazi yao, wao ndo kila kitu wanaujuzi zaidi

Na mimi hiyo nimeiona, sasa wa kati duh

Mnisamehe ila haya mashindano yanayake...pesa inatembea kama kawa.

Wa Mwanza kufurahisha waliolipia kiingilio pia.

Namba 5 hakunivutia tangu mwanzo pia
 
Nina wasiwasi kama huwa wanajaribu hata kupitia video youtube za mashindano yaliyopita ili kujifunza wabongo ni Addict wa Insta na Fb wakati youtube ina kila aina ya mafunzo unayohitaji duniani hapa
Wabongo hata hawajifunzi hata waandaaji wenyewe tu ili uwe miss world lazima uwe unique na hata talent sas a bongo tu naangalia only kujibu. Vijana wasikuhizi Instagram ndo kila kitu
 
Swali ni kutaja vivutio.....

Unaanza kilimanjaro, serengeti,ngorongoro... hivi unamaliza saa ipi

Kwa nini usiviweke katika makundi ili uvielezee maana utalii si wa aina moja aseeeee

Napenda wale wanaojitambua hivyo, wa kwanza au wa tatu kujibu ndiye mshindi.......

Wengine ni uongo tuuu
 
Kuna warembo wazuri walikuwepo pale lakini hawajaingia top 5[emoji22] [emoji24] roho yaniuma sana hapa. Lakini poa tu ngoja tuwaachie majaji wafanye kazi yao, wao ndo kila kitu wanaujuzi zaidi
Yani top five wabovu aisee mshindi atakayeenda miss world atajishukia mwenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…