Miss Tanzania: Diana Edward Lukumai ameshinda taji la Miss Tanzania 2016

yeye nani kwani
 
Tatizo bongo hakuna wanawake wazuri wote nywele mawingi wana sura za babu zao mkorogo vitambi
 
na mbona ni kama watu hakuna wanavuta muda wajae kiasi lakini muda unasonga watu hawatokei
R u kenyan?

Unasonga = msamiati wa wakenya wengi

Wajae kiasi = kenyans mnapenda kuitumia sana
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] wasukuma bwanaaa!!

mnajifagiliaaaaa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…