Miss Tanzania: Diana Edward Lukumai ameshinda taji la Miss Tanzania 2016

Anthony Diallo Quality ya Star TV ni mbaya sana,natumia Azam HD na TV HD cable HDMI lakini quality ni chini ya 120p yaani naona giza tu watu hata sura hawaonekani kabisa,waangalie Azam One,two na ile HD zilivyo na qualities nzuri.
 
Nafikiri bajet nzima ya hili shindano haijazidi shilingi laki 6 za kitanzania
 
Yeye aliyekulia kwenye jamii ya kifugaji akipiga picha amebeba mbuzi/kondoo au hata ng'ombe kama anaweza ni Ajabu?
Sio ajabu mkuu.
Ila sasa hivi ni wa dunia hatutegemei apige picha na mavi ya ngombe tena hatutamuelewa..
Sasa hivi aanze maskendo kama kija joket na sepetunga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…