Miss Tanzania: Diana Edward Lukumai ameshinda taji la Miss Tanzania 2016

Miss Tanzania: Diana Edward Lukumai ameshinda taji la Miss Tanzania 2016

MISS TANZANIA 2016
[emoji87][emoji87][emoji87][emoji87][emoji87][emoji87]
JINA😀iana Edward Lukumai
UMRI:Miaka 18
ELIMU:Shahada(degree)
Hii ina maana;
Alianza Chuo akiwa na miaka 15
Alianza Form one akiwa na miaka 9
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ingawa sio mshabik wa haya mambo napenda nchukue hii nafasi kuwapongeza Wazazi wote kama wazazi wa Diana ambao watoto wao wameanza shule ya msingi wakiwa na miaka miwili
Nadhani uhakiki uendelee kwa miaka Mitano mbele ......hakuna ajira [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hapo wakimchunguza utasikia ana mtoto yupo minjingu au loliondo
Hahaaaa hapo itakuwa kufuru sasa, inabidi waendeshaji na miss mwenyewe wafungwe tu maana hapo watakuwa wamefanya udanganyifu wa hali ya juu
 
Ifike mahali serikali itunge sheria ya kuwazaba risasi za vichwa watu wa sampuli hii!!
 
MISS TANZANIA 2016
[emoji87][emoji87][emoji87][emoji87][emoji87][emoji87]
JINA😀iana Edward Lukumai
UMRI:Miaka 18
ELIMU:Shahada(degree)
Hii ina maana;
Alianza Chuo akiwa na miaka 15
Alianza Form one akiwa na miaka 9
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ingawa sio mshabik wa haya mambo napenda nchukue hii nafasi kuwapongeza Wazazi wote kama wazazi wa Diana ambao watoto wao wameanza shule ya msingi wakiwa na miaka miwili

Una uthibitisho gani juu ya tuhuma hizi??

Hebu weka document husika ili nijue cha kuchangia coz watanzania ni wazuri kwa kuropoka ili wajulikane wanajua mambo pasi na vielelezo.
 
Huyo miss tanzania avuliwe taji kwa kuwadanganya watanzania amesema ana degree na ana miaka 18 sasa naomba kuuliza kwa matokeo haya ni degree ambayo amepata
d9e0a71d362eba1eaca33aaf49258b22.jpg
Hakika nae kama binti Mtemvu. Kumbe nae Bibi Bomba
 
Huyo Sasa Hivi Ndiyo Lundenga Wetu Maana Haa
Amepita Kwenye Vigezo Vyao
 
Back
Top Bottom