Na ilijulikana ni kweli ?shindano litazikwa rasmi.kwanza halina msaada wowote.Hili shindano lingifutwa tu maana niaibu kubwa kama haya niya kweli
Bora lifutwe halina umhimu wowote ule, nimeona picha ya yule miss anaonekana anaumri mkubwa haiwezi kuwa 18 yearsNa ilijulikana ni kweli ?shindano litazikwa rasmi.kwanza halina msaada wowote.
Nadhani uhakiki uendelee kwa miaka Mitano mbele ......hakuna ajira [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]MISS TANZANIA 2016
[emoji87][emoji87][emoji87][emoji87][emoji87][emoji87]
JINA😀iana Edward Lukumai
UMRI:Miaka 18
ELIMU:Shahada(degree)
Hii ina maana;
Alianza Chuo akiwa na miaka 15
Alianza Form one akiwa na miaka 9
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ingawa sio mshabik wa haya mambo napenda nchukue hii nafasi kuwapongeza Wazazi wote kama wazazi wa Diana ambao watoto wao wameanza shule ya msingi wakiwa na miaka miwili
Hapo wakimchunguza utasikia ana mtoto yupo minjingu au loliondoBora lifutwe halina umhimu wowote ule, nimeona picha ya yule miss anaonekana anaumri mkubwa haiwezi kuwa 18 years
[emoji2] [emoji2]Nadhani uhakiki uendelee kwa miaka Mitano mbele ......hakuna ajira [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hahaaaa hapo itakuwa kufuru sasa, inabidi waendeshaji na miss mwenyewe wafungwe tu maana hapo watakuwa wamefanya udanganyifu wa hali ya juuHapo wakimchunguza utasikia ana mtoto yupo minjingu au loliondo
F means female acha kukurupukaAnaitwa Diana Edward Lukumay hapo kwenye matokeo ni Diana F Lukumay
MISS TANZANIA 2016
[emoji87][emoji87][emoji87][emoji87][emoji87][emoji87]
JINA😀iana Edward Lukumai
UMRI:Miaka 18
ELIMU:Shahada(degree)
Hii ina maana;
Alianza Chuo akiwa na miaka 15
Alianza Form one akiwa na miaka 9
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ingawa sio mshabik wa haya mambo napenda nchukue hii nafasi kuwapongeza Wazazi wote kama wazazi wa Diana ambao watoto wao wameanza shule ya msingi wakiwa na miaka miwili
MKUU NIILIJUA TU ANAFLAT SCREEN NYUZI 180 .NO CHURAHii sio miss bantu mkuu.
Uliua?MKUU NILIUA TU ANAFLAT SCREEN NYUZI 180 .NO CHURA
UNAMAKENGEZA MKUUUliua?
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] sio watano...kumii bwana!!!toka ubakwe na mangosha wa5 unawachukia sana ngoshaz, imeandikwa samehe 7X70
Hakika nae kama binti Mtemvu. Kumbe nae Bibi BombaHuyo miss tanzania avuliwe taji kwa kuwadanganya watanzania amesema ana degree na ana miaka 18 sasa naomba kuuliza kwa matokeo haya ni degree ambayo amepata
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ananuka fubaaa!Kachunge ngombe uko, unabishana na mm niko zangu napunga upepo wa baharii
mmechukua taji...m?!!!tuko kama tulivyo, hatujiweki katika uzunguuzungu, uamericaamerica kama nyie huko.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] sio watano...kumii bwana!!!