brave one
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 4,879
- 7,386
Wewe ulienda na matokeo yako mfukoniWamecheat tena pumbavu[emoji48][emoji48][emoji22]..Siha Pius ameachwa?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ulienda na matokeo yako mfukoniWamecheat tena pumbavu[emoji48][emoji48][emoji22]..Siha Pius ameachwa?!
Amejibu vzuri ngoja tumuone miss from Dodoma mbona anazomewaHaka kajinga Ka Dayana kamejibu maswali vizuri[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nitwa lugha ya malkia ka miye hapaYani had nimeshangaa top five wabovu wote usipokuwa ana nitwa
Yani jamani lundenga huyuKabisa nilijua lundenga kajifunza ila wapi
Wampe maji ya kunywa maake hatari sana hii lughaJamani Miss Dodoma hajui kujibu maswali[emoji23]
hujampenda huyo wa miaka 18 mzee yule?Kapigwa chini huyo bora wampe miss Dodoma ndo atleast aisee wengine ni vtuko
si kaanza mwenyewe ?Wampe maji ya kunywa maake hatari sana hii lugha
Namwona miss Ilala mbona mzee HVO hafu mfupihujampenda huyo wa miaka 18 mzee yule?
Hafu anasoma Chuo kikuu cha MzumbeMiss Dodoma hakuna kitu,27 Anitha ni zirooo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Vya dar vijanja vijanja vinaweza kuwarubuni watu, Hawa wa kwetu Igwelashingwa hata kiji lugha shida.Yani jamani lundenga huyu
sanaaa.anajiaminiHaka kajinga Ka Dayana kamejibu maswali vizuri[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mpk msome kwa bidiiiIla wasukuma wenzangu ushamba utatuisha lini?
hahahaahDayana Malikita amejibu maswali vizuri ila mbayaaaa!!amepandana meno kama mimi[emoji38][emoji38][emoji38]
Hahaaaaaaa hafu mfupi bana sasa zamu ya wa lake zone.Dayana Malikita amejibu maswali vizuri ila mbayaaaa!!amepandana meno kama mimi[emoji38][emoji38][emoji38]