Sexer
JF-Expert Member
- Oct 22, 2014
- 8,440
- 8,149
mashindano makubwa kama haya hayawezi kupelekwa katika vimiji vidogo, kwa tanzania miji ya dar na mwanza pekee inayoweza kuandaa kitu kikubwa kama hiki. dar ishafanyika mara 22 kwa hiyo sasa ni zamu ya mwanza mfurulizo afu litarudi dar, kwa baadae tutaifiria dodoma