Hoja hii sitachangia. Ya sitti inatosha.... Mambo ya uraia huo ni ubaguzi
hongera lilian
inasemekana miss jenerali ni mmoja kati ya makachero walio pandikizwa na kagame kuja kuichunguza Tanzania,Mtikila anaweza kututhibitishia.
Haaaaaa!! Hadi tumpate mshindi wa kweli!!
Wabongo wengne wabagaz sana, mtoto kazaliwa na kasoma bongo,Baba yake alikuwa General wa jeshi,ss unataka aende nchi gan?hao waandaji hawakuja yote hayo!tukikuchunguza vzur mtoa mada inawezekana usiwe raia,kuna waindi kibao bongo nao sio raia wa Tanzania kwa sababu wana asili ya India
Wabongo wengne wabagaz sana, mtoto kazaliwa na kasoma bongo,Baba yake alikuwa General wa jeshi,ss unataka aende nchi gan?hao waandaji hawakuja yote hayo!tukikuchunguza vzur mtoa mada inawezekana usiwe raia,kuna waindi kibao bongo nao sio raia wa Tanzania kwa sababu wana asili ya India
Huyo general ni kachero wa rwanda aliyepandikizwa na kagame kuja kuidukua tz! mengine utajua mwenyewe
Unaonaje tukikupa ww
ndio nani huyo jenerali?
Ni mtanzania amezaliwa tanzania amesoma chuo cha uhasibu arusha na alikua mshiriki wa miss chuo mwaka huu....hayo mafekero yenu kama mmetumwa peleken kwa wake zenu na waume zenu..usikute umekaa hapo wewe unaongea kumbe ni mkongo...mxxiiiwww we are sick and tired!!
Ova
Ni mtanzania amezaliwa tanzania amesoma chuo cha uhasibu arusha na alikua mshiriki wa miss chuo mwaka huu....hayo mafekero yenu kama mmetumwa peleken kwa wake zenu na waume zenu..usikute umekaa hapo wewe unaongea kumbe ni mkongo...mxxiiiwww we are sick and tired!!
Ova
Mshindi wa tatu naye mhindi!
Wabongo wengne wabagaz sana, mtoto kazaliwa na kasoma bongo,Baba yake alikuwa General wa jeshi,ss unataka aende nchi gan?hao waandaji hawakuja yote hayo!tukikuchunguza vzur mtoa mada inawezekana usiwe raia,kuna waindi kibao bongo nao sio raia wa Tanzania kwa sababu wana asili ya India
Wanataka kutoa watu kwenye mada kuu.Hela hajarudisha pamoja na mataji ya Temeke na kitongoji
we! kule yalipigwa marufuku hawataki watembea uchi, rais wao alisema wasichana wote wa zanzibar ni warembo. Hataki kusikia hayo mashindano.mbona sijawahi kusikia Miss kutoka Zanzibar?au si Tanzania ile?
Mkuu R.B, hili haliwezi kuwepo, Generali Pascal Kamazima, ametumia jeshi letu maisha yake yote!, kama issue ni uasili, hiyo sio issue kabisa kwa sababu kwa mujibu wa sheria yetu ya uraia, watu wote walikuwa ndani ya ardhi ya Tanganyika kuanzia saa 6:00 usiku wa Dec, 1961, watahesabika ni raia halali wa Tanganyika huru, regarless asili zao!.
Tukianza na chimba chimba za nani alitoka wapi na asili yake ni wapi, mtakuja kukuta Watanzania Halisi ni Wasukuma na Wagogo na makabila mengine machache!.
Tkianzia na Mkombozi wetu, inasemekani huyu baba yake ambaye ni Chifu, alitoka Rwanda, uchifu wakati ule ukitolewa kwa mwenye ng'ombe wengi!, bila kuuliza alikotoka!.
Tukija kwa yule wa Zanzibar, alitokea Malawi, na wanae wote wamesomea kwa babu yao tangu shele ya msingi!.
Hata "Che Nka!", kwanza hilo jina ni la kikeni!, na alikuja nchini akiwa na miaka 6 huku akitembea mwenyewe kwa miguu yake miwili!.
Wangoni wanajulikana walikotoka, wakiongozwa na Zongendamba!. Wamasai na Wachaga wanajulikana walikotoka!. Wahaya na Wahangaza wanajulikana fika ni sehemu ya dola ya Bunyoro!. Musoma karibu wote wametokea kule!. Kigoma karibu wote wametokea kule!.
Wanyasa ni jina tuu, kiukweli ni Wamalawi!. Wamakonde hakuna siri wote wanatoka "nchumbiji!.
Tusifikishane huko tukaanza kunyoosheane vidole kila mmoja arudi kwenye asili yake!.
Pasco