Miss Tanzania namba 2 (Lilian Kamazima) ''ana tatizo la uraia''

Miss Tanzania namba 2 (Lilian Kamazima) ''ana tatizo la uraia''

Kuna uraia wa aina nyingi.na mpaka aliingia kwenye kinyang'anyiro wahusika hawakuona?
 
Wabongo wengne wabagaz sana, mtoto kazaliwa na kasoma bongo,Baba yake alikuwa General wa jeshi,ss unataka aende nchi gan?hao waandaji hawakuja yote hayo!tukikuchunguza vzur mtoa mada inawezekana usiwe raia,kuna waindi kibao bongo nao sio raia wa Tanzania kwa sababu wana asili ya India
 
Wabongo wengne wabagaz sana, mtoto kazaliwa na kasoma bongo,Baba yake alikuwa General wa jeshi,ss unataka aende nchi gan?hao waandaji hawakuja yote hayo!tukikuchunguza vzur mtoa mada inawezekana usiwe raia,kuna waindi kibao bongo nao sio raia wa Tanzania kwa sababu wana asili ya India

Huyo general ni kachero wa rwanda aliyepandikizwa na kagame kuja kuidukua tz! mengine utajua mwenyewe
 
Wabongo wengne wabagaz sana, mtoto kazaliwa na kasoma bongo,Baba yake alikuwa General wa jeshi,ss unataka aende nchi gan?hao waandaji hawakuja yote hayo!tukikuchunguza vzur mtoa mada inawezekana usiwe raia,kuna waindi kibao bongo nao sio raia wa Tanzania kwa sababu wana asili ya India

Huyo general ni kachero wa rwanda aliyepandikizwa na kagame kuja kuidukua tz! mengine utajua mwenyewe

hutaki acha kama ilivyo
 
Ni mtanzania amezaliwa tanzania amesoma chuo cha uhasibu arusha na alikua mshiriki wa miss chuo mwaka huu....hayo mafekero yenu kama mmetumwa peleken kwa wake zenu na waume zenu..usikute umekaa hapo wewe unaongea kumbe ni mkongo...mxxiiiwww we are sick and tired!!

Ova

Huyo mtoto c wanaduka l nguo stand ndogo maza wke ni mchaga duka limeandikwa mwanamwana wanakaa mbauda
 
Ni mtanzania amezaliwa tanzania amesoma chuo cha uhasibu arusha na alikua mshiriki wa miss chuo mwaka huu....hayo mafekero yenu kama mmetumwa peleken kwa wake zenu na waume zenu..usikute umekaa hapo wewe unaongea kumbe ni mkongo...mxxiiiwww we are sick and tired!!

Ova

Hebu mwambie huyo mbaguzi aliyekubuhu atakua katumwa si bure
 
Wabongo wengne wabagaz sana, mtoto kazaliwa na kasoma bongo,Baba yake alikuwa General wa jeshi,ss unataka aende nchi gan?hao waandaji hawakuja yote hayo!tukikuchunguza vzur mtoa mada inawezekana usiwe raia,kuna waindi kibao bongo nao sio raia wa Tanzania kwa sababu wana asili ya India

Mbna kma mnamiksi mambo huyo binti wazazi wke wanakaa arusha mbauda.istoshe baba yke yupoyupo 2 ila mama ndio mpambanaji sana wana duka l nguo stand ndogo,huyo baba yke hajawahi kua jeshini alikua anafanya kazi bank miaka y nyuma
 
We have lots of time to waste...Uraia wa Gen ambaye ametumika kwa mambo mbalimbali mpaka anakufa anaulizwa mtoto wake aliyezaliwa hapa hapa bongo....Interesting
 
mbona sijawahi kusikia Miss kutoka Zanzibar?au si Tanzania ile?
we! kule yalipigwa marufuku hawataki watembea uchi, rais wao alisema wasichana wote wa zanzibar ni warembo. Hataki kusikia hayo mashindano.
 
Mkuu R.B, hili haliwezi kuwepo, Generali Pascal Kamazima, ametumia jeshi letu maisha yake yote!, kama issue ni uasili, hiyo sio issue kabisa kwa sababu kwa mujibu wa sheria yetu ya uraia, watu wote walikuwa ndani ya ardhi ya Tanganyika kuanzia saa 6:00 usiku wa Dec, 1961, watahesabika ni raia halali wa Tanganyika huru, regarless asili zao!.

Tukianza na chimba chimba za nani alitoka wapi na asili yake ni wapi, mtakuja kukuta Watanzania Halisi ni Wasukuma na Wagogo na makabila mengine machache!.

Tkianzia na Mkombozi wetu, inasemekani huyu baba yake ambaye ni Chifu, alitoka Rwanda, uchifu wakati ule ukitolewa kwa mwenye ng'ombe wengi!, bila kuuliza alikotoka!.

Tukija kwa yule wa Zanzibar, alitokea Malawi, na wanae wote wamesomea kwa babu yao tangu shele ya msingi!.

Hata "Che Nka!", kwanza hilo jina ni la kikeni!, na alikuja nchini akiwa na miaka 6 huku akitembea mwenyewe kwa miguu yake miwili!.

Wangoni wanajulikana walikotoka, wakiongozwa na Zongendamba!. Wamasai na Wachaga wanajulikana walikotoka!. Wahaya na Wahangaza wanajulikana fika ni sehemu ya dola ya Bunyoro!. Musoma karibu wote wametokea kule!. Kigoma karibu wote wametokea kule!.

Wanyasa ni jina tuu, kiukweli ni Wamalawi!. Wamakonde hakuna siri wote wanatoka "nchumbiji!.

Tusifikishane huko tukaanza kunyoosheane vidole kila mmoja arudi kwenye asili yake!.

Pasco

Hii ni point! Ila hata kwa sheria za uraia za Tanzania zinavyosema ni ngumu kumvua hilo taji kwa kigezo cha uraia, maana sheria ya uraia inasema " ikiwa mtoto kazaliwa Tanzania, wakati mmoja wa wazazi wake ni Mtanzania basi mtoto huyo atahesabiwa ni mtanzania" na hata akizaliwa nje ya Tanzania huku mzazi wake mmoja tu, akiwa ni Mtanzania basi mtoto huyo ni Mtanzania. hivyo hili la uraia iatakuwa vigumu kuthibitisha kuwa wazazi wake wote si watanzania. Issue ipo ESCROW na Meno ya tembo!
 
Back
Top Bottom