Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 752
No, she is the best kwa waliojitokeza! Hatukuwa na njia nyingine. Warembo kibao TZ lkn hawajitokezi. Vile vichwa vya ukweli viko bize maofisini nk
No, she is the best kwa waliojitokeza! Hatukuwa na njia nyingine. Warembo kibao TZ lkn hawajitokezi. Vile vichwa vya ukweli viko bize maofisini nk
No, she is the best kwa waliojitokeza! Hatukuwa na njia nyingine. Warembo kibao TZ lkn hawajitokezi. Vile vichwa vya ukweli viko bize maofisini nk
mara 100 hata angechukua one of the runners-up kama mshindi wako juu sana kwa mtizamo wangu
True...hicho cha pili----Fist runners-up ni kina uafadhali...sijuhi kuhusu uelewa wake!
huyu miss tanzania wa mwaka huu tukiwekwa jukwaani pamoja nadhani watanzania watanipa kura nyingi sana hadi niseme basi duuuuh
haaaa...golder umenipa raha sana, kura yangu unayo kabla hujaingia jukwaani.
mwe mwe mweee mweeeee...!
YANI MISS MBEYA KAMA ROSE MHANDO....!
ndaga pijo na malori