Watanzania lakini niseme watanganyika na wazanzibar mfumo wetu wa utawala umeshatuathiri sote,viongozi na wananchi kwa ujumla,na upendo unaohubiriwa misikitini na makanisani na umoja unaohubiriwa na chama chetu-ccm ni kiini macho,kama kuna mtu anakumbuka misiba ya kitaifa ilowahi kutokea TZ atakuwa shahidi juu ya simanzi kwa mtanzania mmoja mmoja ilivyokuwa haiwezi kufichika,kumbuka marehemu Sokoine mwaka 1984,Achilia mbali Baba wa Taifa,hebu Kumbukeni MV Bukoba,mm nilikuwa kazini na kazi yenyewe unavyosomea unafundishwa ujasiri lkn nakuambia hakukuwa na kazi mara tu baada ya kutolewa taarifa hizo,wala hakuna alietangaza kuwa hakuna kazi at that moment si wenye vyeo wala ss tulokuwa wafagia sakafu.
Hivi inahitaji digrii ngapi kuelewa huo ni msiba wa kitaifa?maana umehusisha watu wengi kwa wakati mmoja,hivi kweli angelikufa mkuu wa kaya au hata msaidizi au hata mkewe kweli tukio la miss Vodacom Tanzania lingeendelea?au si kweli kwamba tukio la kumsaka mrembo wa TZ haliuwa la kitaifa?
Jamani tukae tutafute njia ya kujinasua kwenye huu mfumo unaotupeleka kwenye kupote upendo na umoja wa kitaifa
Tujadili
Hivi inahitaji digrii ngapi kuelewa huo ni msiba wa kitaifa?maana umehusisha watu wengi kwa wakati mmoja,hivi kweli angelikufa mkuu wa kaya au hata msaidizi au hata mkewe kweli tukio la miss Vodacom Tanzania lingeendelea?au si kweli kwamba tukio la kumsaka mrembo wa TZ haliuwa la kitaifa?
Jamani tukae tutafute njia ya kujinasua kwenye huu mfumo unaotupeleka kwenye kupote upendo na umoja wa kitaifa
Tujadili