Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,480
- 4,775
Balantanda nahisi Lundenga atakuwa amekusikia.. au JK yuko tayari kumlipa huyo nguli wa walimbwede.
Tatizo ni namna ya jinsi mashindano ya Miss Tanzania yanavyoendeshwa..Yanaendeshwa na kampuni binafsi ya Lundenga ya LINO International Agency so hakuna Government intervention..so itakuwa ni vigumu serikali kumleta 'MAXIMO' wa wanyange/walimbwende