Miss World na uhalisia, Kamati ya miss Tanzania wanacho cha kujifunza?


Hamna shida waandikie tu mie sina kwere...lengo ni kuboresha kwani hii pia ni fursa kimataifa
 
Last edited by a moderator:

Yaah hakika! Na Mimi mwanzo nilisema kupata kwake marks zile na kuongoza hakutoshi kumpa ushindi na ni wazi Happy hakuwa na uwanja mpana kuhusu kilicho takiwa kumpa ushindi! Kwa mashindano yale hiki kigezo cha Happy kilikuwa hakitoshi kabisa!
 

Katika hili mabadiliko lazima yaanzie chini kuanzia majudge lazima majudge wawe wenye uelewa mpana na uwezo wa kufikiri zaidi ya pale kwenye meza aliyo kaa na sio mtu awe judge kwa sababu anajua kushona tuu nguo au anapenda fashion!

Nimegudua hili shindano linahitaji watu wenye uelewa sana wa mambo mengi sio fashion tuu!
 
Kwenye ig ya muna...
Ni mswahili haswa...
sasa sahivi anafanya nini?
Shughuli maalum

Niliuliza picha gani amechamba. Haha muna ukimchokoza utaoga matope. Yeye anasema ulokole hawezi so ukimchokoza au ukoment kumpinga kwenye pics zake atakusambaza kweli. Kazi kwakweli haijajulikana may be anafanya biznes au baba mtoto wake anamsapoti me sijui.
Huwa naona Kuna ndugu zake wapo sweden huwa wanamtumia nguo za mtoto na viatu daily.....
 
Yaah hakika! Na Mimi mwanzo nilisema kupata kwake marks zile na kuongoza hakutoshi kumpa ushindi na ni wazi Happy hakuwa na uwanja mpana kuhusu kilicho takiwa kumpa ushindi! Kwa mashindano yale hiki kigezo cha Happy kilikuwa hakitoshi kabisa!

Hahaha ila ndio watz wengi tulivyo tunaona kuwa wakwanza class inatosha...kwa developed countries kuwa wa kwanza ni nothing Kama huna tangible impacts (nasema tangible/measurable kwakuwa kufaulu impact yake kwa jamii iko too general). Alafu pia hadi mtu anenda miss world nina assume kwamba ni lazima awe kipanga (either ameongoza class plus other attributes) sasa ili uwafunike wengine ni lazima kuongoza class kujaziwe na vitu vingine vya uhakika km huduma kwa jamii yako na kimataifa.
 

Siku nyingi sana alimuweka mkaka wa watu akamchambaaaaaa.....
Halafu hivi vitoto vikina pat vinajua kutumia ig au wazazi wao wamewafungulia..
maana sielewagi...
Ngoja na mie nimchambe hapa muna maana hana damu ya nguo yaani hata avae nini hapendezagi.....
 

Kuna watu nyuma ya hizo accounts. Hahaha niliona yule Mkaka aliyechambwa siku ile.
 

Hakika! Kwanza kwa nilivyo ona lazima tukubali Miss awe amemaliza chuo kikuu hii inaweza saidia kidogo kujiongeza na ubunifu! Kwanza Huyu happy amejitahidi kidogo!

Lakini kwa lile shindano nililo liona kwakweli wale Ma miss wetu ambao hawajui vitu vidogo tuu hakika ni shindano gumu sana kwao na tusipo badilika itakuwa ndoto sana kufanya vyema!

Hakika lile shindano linahitaji Mamiss wenye uelewa wa mambo kila kona na kila idara ,Lina hitaji Ma miss wenye bongo pana sana!

Kwa wale Ma miss Tanzania walio kuwa wanagombea mwaka sijaona kabisa anaye fit kabisa kwenda kwenye hili shindano!
 

Miss hajui what is biology? Heheh si lazima ujue mengi ila jua mambo muhimu yanayoigusa jamii na pia uweze ku-master field yako. Kama Wewe ni mtu wa marketing maswali yao yatajikita humo humo like wise na field zingine. Pia Kama una miradi flani watajikita kwenye hizo kazi zako ili kupima kama kweli unakidhi beauty with purpose na issue za talent.
 

Kwa type ya Ma miss wale wa Ludenga hakika kazi hipo sana nafikiri hata kigezo cha elimu kinatakiwa kianze kuzingatiwa maana kuna ma miss wanna shangaza sana yani utafikiri wameishia la saba vile!

Hili shindano lina hitaji mabadiliko makubwa sana tena sana kuanzia majudge hadi Ma miss!
 
Kwani kashika nafasi ya ngapi huyu miss wetu maana mara ya mwisho nilisikia ameingya top ten
 

Hivi zile 500m za idrisa anazilipia kodi?
 
ndiyo maana miss Uganda wa mwaka huu ni mkulima lakn watu wakasema mbaya.Labda tungebaki na bibi bomba wetu mwenye faundesheni tungefika mbali
 
Hivi zile 500m za idrisa anazilipia kodi?
Nchi yetu kuna uzembe sana kwenye kukusanya kodi! hata wasanii wanje hupiga show na kuondoka na pesa yote!

amu nina hakika Afrika kusini kalipa kodi laki sijajua kama kwa Tanzania kama kalipa! Lakini sheria za kodi zinasemaje kwenye hili? Lakini si alitakiwa akatwe na huku? (PAYE)
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…