Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,916
- 43,505
ndiyo maana miss Uganda wa mwaka huu ni mkulima lakn watu wakasema mbaya.Labda tungebaki na bibi bomba wetu mwenye faundesheni tungefika mbali
Lakini kwa hili shindano nilivyo liona muonekano hausaidii kabisa kushinda! Na kama uwezo huyo Sitti uwezo wake ni mdogo pia!