Torra Siabba
JF-Expert Member
- Jul 24, 2016
- 243
- 287
Tanzia.
Joseph Elemedius (57) ambaye alikuwa amechukua fomu ya kugombea Uenyekiti wa Kijiji cha Kalagala Wilaya ya Missenyi ameuawa usiku wa kuamkia leo. Joseph ameuawa wakati akisubiri uteuzi.
Kwetu sisi hili ni shambulio kubwa na tunategemea kuona watu waliofanya unyama huu wako mikononi mwa polisi.
Zacharia Obad
Katibu wa CHADEMA Kanda ya Victoria.
===============
JESHI LA POLISI LAELEZA
JamiiForums imezungumza na Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa SACP Blasius Chatanda amesema “Nipo eneo la tukio, tunafanya utuatiliaji wa kina, sasa hivi ni mapea kutoa taarifa kamili, ni wajibu wa umma kujua kilichotokea.”
Pia soma ~ Polisi: Kada wa CHADEMA aliyefariki alipata ajali ya Bodaboda akiwa amelewa
Joseph Elemedius (57) ambaye alikuwa amechukua fomu ya kugombea Uenyekiti wa Kijiji cha Kalagala Wilaya ya Missenyi ameuawa usiku wa kuamkia leo. Joseph ameuawa wakati akisubiri uteuzi.
Kwetu sisi hili ni shambulio kubwa na tunategemea kuona watu waliofanya unyama huu wako mikononi mwa polisi.
Zacharia Obad
Katibu wa CHADEMA Kanda ya Victoria.
===============
JESHI LA POLISI LAELEZA
JamiiForums imezungumza na Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa SACP Blasius Chatanda amesema “Nipo eneo la tukio, tunafanya utuatiliaji wa kina, sasa hivi ni mapea kutoa taarifa kamili, ni wajibu wa umma kujua kilichotokea.”
Pia soma ~ Polisi: Kada wa CHADEMA aliyefariki alipata ajali ya Bodaboda akiwa amelewa