Noti bandia
JF-Expert Member
- May 3, 2020
- 2,684
- 4,315
Hivi uenyekiti wa mtaa au Kijiji unalipa saaana. Ukitaka kuamini watu wanaudumavu wa akili nchi hii fuatilia uchaguzi wa serikali za mitaa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Buku 2 kwa kila barua anayosaini.Hivi mwenyekiti wa mtaa analipwa sh ngap?
Sasa tushike lipi???Tanzia.
Joseph Elemedius (57) ambaye alikuwa amechukua fomu ya kugombea Uenyekiti wa Kijiji cha Kalagala Wilaya ya Missenyi ameuawa usiku wa kuamkia leo. Joseph ameuawa wakati akisubiri uteuzi.
Kwetu sisi hili ni shambulio kubwa na tunategemea kuona watu waliofanya unyama huu wako mikononi mwa polisi.
Zacharia Obad
Katibu wa CHADEMA Kanda ya Victoria.
===============
JESHI LA POLISI LAELEZA
JamiiForums imezungumza na Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa SACP Blasius Chatanda amesema “Nipo eneo la tukio, tunafanya utuatiliaji wa kina, sasa hivi ni mapea kutoa taarifa kamili, ni wajibu wa umma kujua kilichotokea.”
Pia soma ~ Polisi: Kada wa CHADEMA aliyefariki alipata ajali ya Bodaboda akiwa amelewa