USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 10,904
- 26,184
Chadema wameanza kuuawana kisa uwenyekiti wa kijijiniTanzia.
Joseph Elemedius (57) ambaye alikuwa amechukua fomu ya kugombea Uenyekiti wa Kijiji cha Kalagala Wilaya ya Missenyi ameuawa usiku wa kuamkia leo. Joseph ameuawa wakati akisubiri uteuzi.
Kwetu sisi hili ni shambulio kubwa na tunategemea kuona watu waliofanya unyama huu wako mikononi mwa polisi.
Zacharia Obad
Katibu wa CHADEMA Kanda ya Victoria.
===============
JESHI LA POLISI LAELEZA
JamiiForums imezungumza na Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa SACP Blasius Chatanda amesema “Nipo eneo la tukio, tunafanya utuatiliaji wa kina, sasa hivi ni mapea kutoa taarifa kamili, ni wajibu wa umma kujua kilichotokea.”
USSR