LGE2024 Missenyi, Kagera: Kada CHADEMA, Joseph Elemedius auawa akingojea Uteuzi kugombea Serikali za Mitaa

LGE2024 Missenyi, Kagera: Kada CHADEMA, Joseph Elemedius auawa akingojea Uteuzi kugombea Serikali za Mitaa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Tanzia.

Joseph Elemedius (57) ambaye alikuwa amechukua fomu ya kugombea Uenyekiti wa Kijiji cha Kalagala Wilaya ya Missenyi ameuawa usiku wa kuamkia leo. Joseph ameuawa wakati akisubiri uteuzi.

Kwetu sisi hili ni shambulio kubwa na tunategemea kuona watu waliofanya unyama huu wako mikononi mwa polisi.

Zacharia Obad
Katibu wa CHADEMA Kanda ya Victoria.


===============

JESHI LA POLISI LAELEZA
JamiiForums imezungumza na Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa SACP Blasius Chatanda amesema “Nipo eneo la tukio, tunafanya utuatiliaji wa kina, sasa hivi ni mapea kutoa taarifa kamili, ni wajibu wa umma kujua kilichotokea.”
Chadema wameanza kuuawana kisa uwenyekiti wa kijijini

USSR
 
Huu ni uchaguzi wa serikali za mitaa TU. Je uchaguzi mkuu! Udiwani, ubunge na urais itakuwaje Sasa mwaka ujao! Jiwe alikuwa hovyo sana!
Yatakuws ni maafa makubwa
 
Inasikitisha sana uroho wa madaraka unaondoka na roho ya mtu
Hawana hata mshahara maskini! Ccm watalipia damu zote wanazomwaga! Botswana wamepigwa chini miaka 58 ya utawala wa mabavu km ccm! Lakini mwenge ni tatizo! Ni madhabahu ya hovyo sana Ile!
 
Hawana hata mshahara maskini! Ccm watalipia damu zote wanazomwaga! Botswana wamepigwa chini miaka 58 ya utawala wa mabavu km ccm! Lakini mwenge ni tatizo! Ni madhabahu ya hovyo sana Ile!
Inasikitisha sana
 
Hawana hata mshahara maskini! Ccm watalipia damu zote wanazomwaga! Botswana wamepigwa chini miaka 58 ya utawala wa mabavu km ccm! Lakini mwenge ni tatizo! Ni madhabahu ya hovyo sana Ile!
Mwenge kwa sasa unafika mwisho maana wananchi wameukacha wanasukuma watu kwa lazima wakaupokee. Hizi ni ziku za mwisho za mwenge.
 
Tanzia.

Joseph Elemedius (57) ambaye alikuwa amechukua fomu ya kugombea Uenyekiti wa Kijiji cha Kalagala Wilaya ya Missenyi ameuawa usiku wa kuamkia leo. Joseph ameuawa wakati akisubiri uteuzi.

Kwetu sisi hili ni shambulio kubwa na tunategemea kuona watu waliofanya unyama huu wako mikononi mwa polisi.

Zacharia Obad
Katibu wa CHADEMA Kanda ya Victoria.


===============

JESHI LA POLISI LAELEZA
JamiiForums imezungumza na Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa SACP Blasius Chatanda amesema “Nipo eneo la tukio, tunafanya utuatiliaji wa kina, sasa hivi ni mapea kutoa taarifa kamili, ni wajibu wa umma kujua kilichotokea.”
Jeshi la polisi UVCCM waliwaambia msihangaike kuwatafuta wanaopotezwa.
 
Tanzia.

Joseph Elemedius (57) ambaye alikuwa amechukua fomu ya kugombea Uenyekiti wa Kijiji cha Kalagala Wilaya ya Missenyi ameuawa usiku wa kuamkia leo. Joseph ameuawa wakati akisubiri uteuzi.

Kwetu sisi hili ni shambulio kubwa na tunategemea kuona watu waliofanya unyama huu wako mikononi mwa polisi.

Zacharia Obad
Katibu wa CHADEMA Kanda ya Victoria.


===============

JESHI LA POLISI LAELEZA
JamiiForums imezungumza na Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa SACP Blasius Chatanda amesema “Nipo eneo la tukio, tunafanya utuatiliaji wa kina, sasa hivi ni mapea kutoa taarifa kamili, ni wajibu wa umma kujua kilichotokea.”

Pia soma ~ Polisi: Kada wa CHADEMA aliyefariki alipata ajali ya Bodaboda akiwa amelewa
Wasiojulikana🥲
 
Hivi mwenyekiti wa mtaa analipwa sh ngap?
Barua za utambulisho buku mbili hadi tano, madili ya kuuza viwanja na maeneo ya watu, pride nk. Hakuna kingine, japo nasikia wanapewa kiinua mgongo wakistaafu.
 
Tanzia.

Joseph Elemedius (57) ambaye alikuwa amechukua fomu ya kugombea Uenyekiti wa Kijiji cha Kalagala Wilaya ya Missenyi ameuawa usiku wa kuamkia leo. Joseph ameuawa wakati akisubiri uteuzi.

Kwetu sisi hili ni shambulio kubwa na tunategemea kuona watu waliofanya unyama huu wako mikononi mwa polisi.

Zacharia Obad
Katibu wa CHADEMA Kanda ya Victoria.


===============

JESHI LA POLISI LAELEZA
JamiiForums imezungumza na Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa SACP Blasius Chatanda amesema “Nipo eneo la tukio, tunafanya utuatiliaji wa kina, sasa hivi ni mapea kutoa taarifa kamili, ni wajibu wa umma kujua kilichotokea.”

Pia soma ~ Polisi: Kada wa CHADEMA aliyefariki alipata ajali ya Bodaboda akiwa amelewa


Cha kushangaza hapa kuna watu watajisahaulisha na kusema wamejiua wenyewe😂 tumekuwa nchi ya uchawa na unafiki
 
CCM hizi damu mnazomwaga hala Polisi wanawakingieni kifua mtazilipa soon.
 
Chadema wanauana haha kwa nafasi hizi ?
 
Nakumbuka mwenyekiti wao alibugia konyagi hadi alivunjika mguu akasingizia wasiojulikana eti walikuwa wanamfuatilia😁😁
 
Mleta mada jazia nyama post yako, alikuwa anasubiri uteuzi wann? Ninachojua mm uteuzi wa wagombea ni suala la ndani ya chama cha siasa. Na leo ndio mwisho wa urudishaji wa fom za kugombea nafasi wenyeviti na wajumbe.
Tanzia.

Joseph Elemedius (57) ambaye alikuwa amechukua fomu ya kugombea Uenyekiti wa Kijiji cha Kalagala Wilaya ya Missenyi ameuawa usiku wa kuamkia leo. Joseph ameuawa wakati akisubiri uteuzi.

Kwetu sisi hili ni shambulio kubwa na tunategemea kuona watu waliofanya unyama huu wako mikononi mwa polisi.

Zacharia Obad
Katibu wa CHADEMA Kanda ya Victoria.


===============

JESHI LA POLISI LAELEZA
JamiiForums imezungumza na Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa SACP Blasius Chatanda amesema “Nipo eneo la tukio, tunafanya utuatiliaji wa kina, sasa hivi ni mapea kutoa taarifa kamili, ni wajibu wa umma kujua kilichotokea.”

Pia soma ~ Polisi: Kada wa CHADEMA aliyefariki alipata ajali ya Bodaboda akiwa amelewa
 
Back
Top Bottom