LGE2024 Missenyi, Kagera: Kada CHADEMA, Joseph Elemedius auawa akingojea Uteuzi kugombea Serikali za Mitaa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Hivi uenyekiti wa mtaa au Kijiji unalipa saaana. Ukitaka kuamini watu wanaudumavu wa akili nchi hii fuatilia uchaguzi wa serikali za mitaa.
 
Alianza vizuri sama sasa anamwaga damu kwenda mbele yeye abakie madarakani khaaaaa damu za watu hazitaenda bure
 
Sasa tushike lipi???
Chadema wanadai kada wao ameuawa nalo jeshi la police linasema amepata ajali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…