Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa "Meli" ya mavi.Bahati yenu sina mtutu, hata mkinipa shavu mtambue sina busu...
Mwenye kichefu chefu Ishia kuiona kwa mbali maana utatapika hadi utumboSawa "Meli" ya mavi.
Trump hakukosea ila ulikosea wewe kumkosoa kua hana akili halafu leo hii unakiri kua yuko sahihiTrumo hakukosea.
dodge
Kwani trump alisemaje?Iran hakupiga off target, Missiles ziligonga base na kuharibuharibu miundo mbinu
Kama Marekani ilihamisha askari wake au kama Askari wake walikuwa chini huko kwenye bunkers ili wasidhuriwe na missiles hilo ni jambo jingine
Kwani trump alisemaje?
Alivyosema kua hakuna aliyejuruhiwa nyie wapambe mkaendelea kupiga domo kama mshehereshaji wa shuhuli mara ooh trump muongo wanajeshi wamekufa wengi tu mkapost na vipicha vyenu sijui mlivipata wapi mi nilikja nawa zoom tu
Juzi imebidi iran mwenyewe kufunguka kua alipiga off target na hakuna hata majeruhi sasa hivi naona wapambe mnaanza kuumbuka
Juzi tena iran kadungua ndege ya ukain kimakosa (off target) halafu akakataa kua hajailipua. Nikawaambia huyu muiran ni.mtu wa kucheza na majukwaa hapa anapotosha uma ila ukweli ni kwamba ameshambulia ndege ya ukrain, na vichwa panzi wakaendelea kumtetea kua hajailipua mi mda huo nimesizi tu nawa cheki
Leo yeye mwenyewe amekiri kua ameidungua kimakosa, hii ya leo wewe unamaoni gani kuhusu tamko hili kutoka iran?
Sawa "Meli" ya mavi.Mwenye kichefu chefu Ishia kuiona kwa mbali maana utatapika hadi utumbo
Nimeona Nguvu Ya US Ilochemka Kuzuia Makombora Yasipige Kambi ZakeIna maana wewe ni kipofu, wairan kibao wamekufa kwa kukanyagana unafikiri walikuwa kwenye sherehe?!! yaani ni tukio juu ya tukio. Yaani kitendo tu cha US kumuua general soleimani, imepelekea wairan 56 kufa kwa kukanyagana kwenye maombolezo ya genaral, wairan 82 kuuwawa kwenye ndege ya Ukraine tena kwa kuuliwa na wairan wenzao kisa kitete cha kushambuliwa na US. kwa hiyo 82+56+1=138, kwa hiyo Iran imepoteza zaidi ya raia 138 sababu ya shambulio la US kumuua soleimani. Sasa umeona NGUVU ya US.
Sent using Jamii Forums mobile app
US=PAPER TIGER.....Iran hakupiga off target, Missiles ziligonga base na kuharibuharibu miundo mbinu
Kama Marekani ilihamisha askari wake au kama Askari wake walikuwa chini huko kwenye bunkers ili wasidhuriwe na missiles hilo ni jambo jingine
Hata Ile HQ Stealth Ilifanya Yake Bila Kuonekana[emoji12][emoji12][emoji12][emoji14][emoji14][emoji14]F-35 stealth fighter za Israel zimeshafanya yake.Hakuna kuonekana na radar,"Unidentified aircraft !"
Walivyosema wanalipa kisasi inamaana kumbe marekani walibutua ngome za iran hawakuua mtu na ndio maana wao wamelipisha kwa kulipua ngome bila hata mtu kujeruhiwa?"hujaziona picha za sattelite zinazoonyesha majengo ya kambi ya USA yaliyobutuliwa?