Hivi badoo na kwenyewe ni forum? Nilijua unapost tu pics unatafutwafungua account nyingne jina la kike afu uwe unajiulizia ....ha ha ha nilifanyaga hivi badoo haiwezekan watu wanachat kwa kujuana kule nkafake account jina la kike nkaanza jiulizia afu najijibu ha ha inbox zilijaa
I miss Miss NeddyHii timu enzi zake...
mzee wewe una memory gani, tokea mwaka jana bob, chubua man hahahahahahaHa ha ha kila nikikuona nakumbuka ile 'selfie gone wrong'
Ulipost uzi wa kuhusu ngedere wanavowasumbua nyumbani kwenu na Mr.... Uwafanyeje?? ( if I'm not mistaken lakini)Really?
Uliniboa? How??
Sikumbuki hata. Labda unieleweshe ilihusu nini.
Hahaaaaa. Aisee.Ulipost uzi wa kuhusu ngedere wanavowasumbua nyumbani kwenu na Mr.... Uwafanyeje??
Nikakoment utumbo kuwa " waoneshee kipapa "[emoji16] [emoji16] [emoji23] haha ulinipa ulinipa ila kiingereza sasa kwani niliambulia neno hata moja !! Ulitumia English kama Ile anayoandikaga Ngabu sometimes
Cc Smart911
Na utafiti wake jamani wamepotea kweli.. Walau neddy huwa anaapear kwa kubip bip utafiti ndo haonekani mazimaaaI miss Miss Neddy
sory nimechanganya i mean 2goHivi badoo na kwenyewe ni forum? Nilijua unapost tu pics unatafutwa
[emoji106] [emoji106]sory nimechanganya i mean 2go