Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haaaaaah ulitisha sana.Ulipost uzi wa kuhusu ngedere wanavowasumbua nyumbani kwenu na Mr.... Uwafanyeje?? ( if I'm not mistaken lakini)
Nikakoment utumbo kuwa " waoneshee kipapa "[emoji16] [emoji16] [emoji23] haha ulinipa ulinipa ila kiingereza sasa kwani niliambulia neno hata moja !! Ulitumia English kama Ile anayoandikaga Ngabu sometimes..
Cc Smart911
Mwambie maana Nina wivu sanaHapana.
Usijisumbue, utapoteza mda wako.
Wewe kama nani?Mwambie maana Nina wivu sana
DJ sepetuWewe kama nani?
Hapo kwa taita hata Mzee wa Rula anahusikaHeaven on Earth
Huyu mrembo amepotea kwa muda usiojulikana, mara ya mwisho alionekana mitaa ya Biashara na Uchumi, huwa anapenda kutembelea mitaa ya MMU na Chit Chat. Popote utakapomuona unaombwa kutoa taarifa hapa.
Heaven Sent
Huyu mrembo amepotea kwa takribani mwezi mmoja, yeyote atakaemuona popote pale atoe taarifa hapa. Huwa anapenda kutembelea mitaa ya MMU na huko ndipo alipooneka kwa mara ya mwisho.
masai dada aka Crazy Sexy Cool huyu ndito kapotea miaka kadhaa sasa, nasikia huwa anaonekana mara chache sana mitaa hii ya chit chit.
Tyta mzee wa picha, huyu jamaa ilikuwa ukihitaji picha inayohusu tukio lolote analupatia in no time,popote atakapooneka toa taarifa haraka.
Hata mimi nilikumiso kwakweliMshua mbona me nipo jamani, though sijashusha sana magazeti kitambo; nasoma zaidi.
Kati ya hao wawili kuna mtu nilisahau id yake japo nilikumbuka sura
Hata wewe umepoteaJason Bourne.
Bezikale huwa najua wewe una ID ya zamaniWatu wapo na Viaidi vipya wanatuzoom tu hapa...
infwakiti, sina maana hiyo.
Duuuh nitacomenti ki-shilawadu!Siku hizi umekazana kweli kuni laiki laiki ukikatiza mitaa niliyopita Daby?
Iko nini?😛
Haaaaa Nipo Mwanyasi.Hata wewe umepotea
Safi mkuuHaaaaa Nipo Mwanyasi.