Missing you

mlei kabisa kama kanisa linavomtambua....bar nako kuna kundi hili??
Bar kuna makatekista na walei wa kumwaga! Njoo zero pub Eliza akuchape injili.
 
Bar kuna makatekista na walei wa kumwaga! Njoo zero pub Eliza akuchape injili.

sasa wewe Iribini mi hayo mambo ya eliza siyataki kabisa.....hubiriwa mwenyewe na kampani yako....kumbe wahudumu wa bar nao ni makatekista?
 
sasa wewe Iribini mi hayo mambo ya eliza siyataki kabisa.....hubiriwa mwenyewe na kampani yako....kumbe wahudumu wa bar nao ni makatekista?
Kwahiyo utakuja au huji? Niko siriaz ujue!
 
Chumvi inakuja jamani mjitayarishe.......................
 
happy new year Best sijakusikia siku kibao upo?!...nilidhani umewekwa ndani for a minute...LOL!

heheheheh nimewekwa ndani kwani kidogo! yaani nimeamini kuna sehemu ukigusa best you are deemed to be lost completely! najitahidi hapa kujinasua lakini chai yenyewe naletewa kitandani nambie ntatokaje sasa...

how are you doing?πŸ™„
 
heheheheh nimewekwa ndani kwani kidogo! yaani nimeamini kuna sehemu ukigusa best you are deemed to be lost completely! najitahidi hapa kujinasua lakini chai yenyewe naletewa kitandani nambie ntatokaje sasa...

how are you doing?πŸ™„
ndio vekesheni hizo!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…