Jeff
JF-Expert Member
- Sep 26, 2009
- 1,293
- 200
wewe unapendelea ipi?
hasi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wewe unapendelea ipi?
hhahaaa afu B Kaizer had a good one nakwambia!!!! mwaka huu wako B!!!!ndio vekesheni hizo!!!
hhahaaa afu B Kaizer had a good one nakwambia!!!! mwaka huu wako B!!!!
Heeeee! Hata wewe shemeji? mie chichemi.heheheheh nimewekwa ndani kwani kidogo! yaani nimeamini kuna sehemu ukigusa best you are deemed to be lost completely! najitahidi hapa kujinasua lakini chai yenyewe naletewa kitandani nambie ntatokaje sasa...
how are you doing?🙄
Heeeee! Hata wewe shemeji? mie chichemi.
.....tena shemeji yako ndio kiongozi wa mila zetu!infact muongozi woooote wa kudumusha mila TUNAUKOPI KWAKEHeeeee! Hata wewe shemeji? mie chichemi.
Uchokozi huo,si nimemwambia shemeji yangu?Unaogopa nini kuchema? We chema tu! tehetehetehe!
Uchokozi huo,si nimemwambia shemeji yangu?
.....tena shemeji yako ndio kiongozi wa mila zetu!infact muongozi woooote wa kudumusha mila TUNAUKOPI KWAKE
.....tena shemeji yako ndio kiongozi wa mila zetu!infact muongozi woooote wa kudumusha mila TUNAUKOPI KWAKE
Usiniambie? si baba paroko jamani shemeji yangu? au mnamsingizia?Yupo wapi aje ajibu tuhuma hizi......tena shemeji yako ndio kiongozi wa mila zetu!infact muongozi woooote wa kudumusha mila TUNAUKOPI KWAKE
hehehe, kwa nini unasema ivo BHT japokuwa tupo kwenye maombolezo! LOL
ulivonaswa kwenye malove mazito je!!! hata kujinasua huwezi tangu krismasi hata leo .....si vekesheni ya aina yake hiyo B!!!
Isipokuwa mimi tu. Nimerithi toka kwa babu yangu. Alikuwa na wake sita na watoto 42! Nimerithishwa mikoba yake.[/QUOTE]
Siipendi hii statement.Halfu inajirudiarudia.Isijenifanya nimalize mwaka vibaya.
ishindwe na ilegee na mikoba iteketee kwa damu ya Yesu.
niligundua hilo jana mpwa khaaaaaaaa!!! ulei huu kazi kwelikweli Kaizer unakili sailently B.
Usiniambie? si baba paroko jamani shemeji yangu? au mnamsingizia?Yupo wapi aje ajibu tuhuma hizi.
Usiniambie? si baba paroko jamani shemeji yangu? au mnamsingizia?Yupo wapi aje ajibu tuhuma hizi.
HABARI NDIYO HIYO!jana alituita USWAZI manzese-madizini tulikuwa huko,TUMEDUMISHA MILA MPAKA ALFAJIRI
...mama,Siipendi hii statement.Halfu inajirudiarudia.Isijenifanya nimalize mwaka vibaya.
ishindwe na ilegee na mikoba iteketee kwa damu ya Yesu.
HII SASA ndio yenyewe!UDUMU SANA KIJANA!tupo wachache sana wenye HEKIMA ZA KUDUMISHA MILA......Isipokuwa mimi tu. Nimerithi toka kwa babu yangu. Alikuwa na wake sita na watoto 42! Nimerithishwa mikoba yake.