Mission failed kwa GSM

Mission failed kwa GSM

Wanaosimamia kanuni ya mpira wetu ndio washasema,wewe upinge nani,busara imetumika ili kesho mlete timu lenu tulibutue goli za kutosha,baada ya kesho ugomee tena match zijazo ili ukutane na kitu kizito cha utosi,GSM bado mdhamini mwenza wa ligi yetu na kwa umbumbu wenu mnadhani mtashinda hii challenge while ligi ina ina timu 16 then huu umbumbu mpo peke yenu,hamna timu yoyote inayowaunga mkono

View attachment 2039837
Janja janja kaona hamumtangazi kimataifa ameamua kupitia uwanja wa uwani atangazwe na mnyama simba

DE59282D-E9C8-451F-91C9-0DFF3641DDC8.jpeg
 
Janja janja kaona hamumtangazi kimataifa ameamua kupitia uwanja wa uwani atangazwe na mnyama simba

View attachment 2039867
Money talk,ndoa ya mikia na tff ya karia iliyowabeba mikia kwa miaka 4 ndio imeishia hapo,kolokwinyo msitegemee fair yoyote toka tff kwa sasa,na tff inawasubiri match zijazo mje na upupu kama huu,nyie nani hii weekend azam fc atavaa logo ya GSM na mabango yatakuwepo uwanjani,tunawasubiri mikia next matches mgomee
 
Haiwezi kua imefeli mpaka sasa tayari amewin katika tumemtangaza zaidi kuliko simba wange kubali kuivaa

Hivi huoni kama GSM anawapoteza wateja ambao ni mashabiki wa Simba kwa ajili ya chuki inayojengeka kuwa analeta uhuni katika ligi.Amini nakwambia,hii inamuharibia zaidi GSM kibiashara kuliko unavyofikiria.Hawa kina na Manara ni swala la muda tu,atakuja kuwaona ni liability kwake
 
Mpango wa gsm kuwa mdhamini mwenza unaanza kukutana na changamoto.
Nadiriki kusema kwamba mapungufu ya mkataba yasingejadiliwa kama:-
1)mbele ya media kusengekua na sura za uyanga wakati wa utiaji saini wa mkataba.

2)Post tata za Manara mitandaoni kuhusu kuwamiliki Simba kupitia mkataba wa gsm kwenye udhamini mwenza ligi kuu ya NBC.

3)TFF na Body ya ligi kutumia nguvu kubwa kuliko busara kwenye swala la Simba kuvaa nembo za gsm.

GSM wajipange upya wanalolitaka litatimia kwa busara.
Tatizo Yanga wanajiona ndo wadhamini Wenza wa ligi. Kwa siasa za Simba na Yanga huu mkataba utavunjwa tu
 
Mkataba wa GSM na tff upo pale pale,busara imetumika ili tu kesho msikimbie,baada ya hapo ndio mtajua hamjui,hamna sapoti ya timu hata 1 kwenye ligi yenye timu 16,tunawasubiri mkagomee mabango mkicheza na kmc ili tuanze kuwanyoosha kikanuni
Simba ni kubwa zaidi ya hivyo vitimu 15 vilivyobaki
 
Mkataba wa GSM na tff upo pale pale,busara imetumika ili tu kesho msikimbie,baada ya hapo ndio mtajua hamjui,hamna sapoti ya timu hata 1 kwenye ligi yenye timu 16,tunawasubiri mkagomee mabango mkicheza na kmc ili tuanze kuwanyoosha kikanuni
Mnatafuta Ubingwa kwa gharama kubwa mno.

Ubingwa unapatikana kwa kusakata soka la uhakika uwanjani na si kwa ulaghai wa kuwekeza kwenye timu shindani.
 
Hivi huoni kama GSM anawapoteza wateja ambao ni mashabiki wa Simba kwa ajili ya chuki inayojengeka kuwa analeta uhuni katika ligi.Amini nakwambia,hii inamuharibia zaidi GSM kibiashara kuliko unavyofikiria.Hawa kina na Manara ni swala la muda tu,atakuja kuwaona ni liability kwake
Umefanya wapi huu utafiti au ni hisia zako?Bahati mbaya watanzania hatupo hapo ulipo wewe!
 
Kumbe Emirates nae kaona Madrid haitangazi vyema ndiyo maana akaenda Arsenal? Akaenda Ac Millan? Akaendaga PSG? nilikuwa sijajua aisee.
Haviendani na ulichokiandika hapa 👆 bosi wenu janja janja sana
 
Yanga ni mazuzu. Wamezuzuliwa na GSM, ambaye kasababisha hadi wamemwokota mropokaji mmoja eti ndiye msemaji wao. Kutwa kucha yupo mitandaoni anaandika mipasho na mafumbo utafikiri mwanamke wa Kiswahili.
 
Yanga ni mazuzu. Wamezuzuliwa na GSM, ambaye kasababisha hadi wamemwokota mropokaji mmoja eti ndiye msemaji wao. Kutwa kucha yupo mitandaoni anaandika mipasho na mafumbo utafikiri mwanamke wa uswahilini.
 
Mpango wa GSM kuwa mdhamini mwenza unaanza kukutana na changamoto.

Nadiriki kusema kwamba mapungufu ya mkataba yasingejadiliwa kama:-
1) Mbele ya media kusengekua na sura za uyanga wakati wa utiaji saini wa mkataba.

2) Post tata za Manara mitandaoni kuhusu kuwamiliki Simba kupitia mkataba wa GSM kwenye udhamini mwenza ligi kuu ya NBC.

3) TFF na Body ya ligi kutumia nguvu kubwa kuliko busara kwenye swala la Simba kuvaa nembo za GSM.

GSM wajipange upya wanalolitaka litatimia kwa busara.
Timu 15 zimekubali ni moja ndio imefeli,sasa unasema mission failed?

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom