Putin hazingatii sheria zozote za vita.Sheria za vita haziruhusu mauaji ya viongozi wa kisiasa
Za ndani ila wewe uko zako buza kwa lulenge unajua[emoji1787]Habari,
Zamoto baada ya matukio matatu ya magaidi kuua Raia Urusi na jingine kumuua kiongozi mkubwa wa Jeshi basi Rais Putin ameapa na kusema atalipiza kisasi kwanjia yake ambayo itaishtua Dunia ni swala la muda! Habari kutoka Kremlin zinasema Rais Putin aliitisha kikao cha dharula na kuwapa jukumu vikosi vyake vya usalama kilichodiliwa ni siri! Ila kwa wachambuzi wanasema ameagiza kichwa cha Zelensky!!Anakitaka kwa njia yoyote ila kwa maana hiyo operation Zelensky imeanza! Hili jambo siyo la kushangilia maana hata makombola yatapigwa popote kuanzaia sasa itakapojulikana yupo!
Hakika, kwa mda ambao nilikuwa nasoma RUSSO kuna vitu vingi sana nilionaIla katika masuala ya kijasusi hao FSB former KGB ni balaa.
Hio michezo ya kijasusi kuua warusi ni NATO...
Putin sina mashaka nae ye wenyewe KGB... Alichomfanyia jamaa yake Prighozin inatisha ...
Hiyo inakumbusha Nasrallah alivyoapa kumla kichwa Netanyahu badala yake kikaliwa chakePutin aliitisha kikao cha dharula na kuwapa jukumu vikosi vyake vya usalama kilichodiliwa ni siri! Ila kwa wachambuzi wanasema ameagiza kichwa cha Zelensky!!
Za ndani ukiwa hapo VIJIBWENI?!Habari,
Zamoto baada ya matukio matatu ya magaidi kuua Raia Urusi na jingine kumuua kiongozi mkubwa wa Jeshi basi Rais Putin ameapa na kusema atalipiza kisasi kwanjia yake ambayo itaishtua Dunia ni swala la muda!
Habari kutoka Kremlin zinasema Rais Putin aliitisha kikao cha dharula na kuwapa jukumu vikosi vyake vya usalama kilichodiliwa ni siri! Ila kwa wachambuzi wanasema ameagiza kichwa cha Zelensky!!
Anakitaka kwa njia yoyote ila kwa maana hiyo operation Zelensky imeanza!
Hili jambo siyo la kushangilia maana hata makombola yatapigwa popote kuanzaia sasa itakapojulikana yupo!
Trump atampa auheni kuanzia mwakani.Ila Putin naona hatashinda
Mijamaa ya magharibi inajua kumvumilia adui
Hawana huo uwezo Putin sio Sadam Hussein.Yaaani kwa tangazo hilo..........amehalalisha CIA,MOSSAD,UIA pamoja na uk wamle kichwa kabla ya krisimas...............sasa hivi putin atakaa kwenye handaki mpaka huu mwaka uishe hata kunya atanyea huko huko...........kumuua Zelensky ni kujitakia kifo cha lazima .............
lakini hao viongozi wa kisiasa ndio ima wana bariki ama wanatoa amri za kuuliwa viongozi wasio wa kisiasa na kisiasa pia...! 😁Sheria za vita haziruhusu mauaji ya viongozi wa kisiasa
Ukiona mpaka kagongwa general wa mipango mingi na taifa kwa ujumla sio mchezo..........tena kauliwa bila kuacha ushahidi kwamba nani kahusika pia sio mchezo........intelligence ya Ukraine ni kubwa sana akisaidiwa na mataifa rafiki....................na pia uwezo anao wa kuthubutu.....Hawana huo uwezo Putin sio Sadam Hussein.
Mzee FSB wasikie redioni.Ukiona mpaka kagongwa general wa mipango mingi na taifa kwa ujumla sio mchezo..........tena kauliwa bila kuacha ushahidi kwamba nani kahusika pia sio mchezo........intelligence ya Ukraine ni kubwa sana akisaidiwa na mataifa rafiki....................na pia uwezo anao wa kuthubutu.....