Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo sio weak tatizo ni watu wa system hawataki vita na ndugu zao...........putin kakalia kuti kavu basi tu yaaanMzee FSB wasikie redioni.
Kummaliza huyo officer haimaanishi fsb ni weak...
Watakuwa M16 wana lipiza maana Mrusi kuingia UK kuua anao wataka ni kawaida sanaIla katika masuala ya kijasusi hao FSB former KGB ni balaa.
Hio michezo ya kijasusi kuua warusi ni NATO...
Putin sina mashaka nae ye wenyewe KGB... Alichomfanyia jamaa yake Prighozin inatisha ...
Wewe unacheza na Mbongo iko Ikwiriri anapata za ndani za kutoka Moscow Kilometa zaidi ya 12000, ila cha kushangaza hajawahi kufika Dar es salaam tangu kuzaliwa.Hzi za ndani inakuaje zinavuja mpk zinawafikia
Itoshe kuamini mtandao wenu ni mrefu wakupata files za Ikulu toka USA, RASSIA, UKRAINE, ENGLAND, ISRAEL, FRANCE na UJERUMANI huku mkiwa Tz vijijini, vocha ya mia tano na miyayo mingi!!
Anyway shame on me[emoji16]
Afu za nje ziko ulaya. Huyu Mwamba hajui Askari waliokufa Dodoma ila anajua TAARIFA zote za Urusi🤣🤣🤣Inasgshangaza sana za ndani zipo Tanganyika
Watakuwa M16 wana lipiza maana Mrusi kuingia UK kuua anao wataka ni kawaida sana
USA pia inataka kichwa cha Putin. Kitendo cha mkuu wake kuuliwa Ndani ya Russia, ni alert kwake piq……. Akae sawaPutin hazingatii sheria zozote za vita.
Kweli nimeamini wewe ni mtu wa 'za ndaani'😀😀Yassin Arafat anaishi kwenu??au Sadam Hussen mnaishi naye??
Sheria zipi hizo? Na nani anazicontrol?Sheria za vita haziruhusu mauaji ya viongozi wa kisiasa
Buza Kinyantila Njia Ya Kwenda KibeberuZa ndani ila wewe uko zako buza kwa lulenge unajua[emoji1787]
Sure.Mzee FSB wasikie redioni.
Kummaliza huyo officer haimaanishi fsb ni weak...
wakati muuaji kakamatwa na kakili kwamba kweli alitega bomu unasemaje? hapo...Ukiona mpaka kagongwa general wa mipango mingi na taifa kwa ujumla sio mchezo..........tena kauliwa bila kuacha ushahidi kwamba nani kahusika pia sio mchezo........intelligence ya Ukraine ni kubwa sana akisaidiwa na mataifa rafiki....................na pia uwezo anao wa kuthubutu.....
Hao si kama uku tu..........kwani watasema ukweli 😀😀😀😀........hivi wewe kweli mtu atumwe mission possible anasubiri uje umkamate tena kwani yeye mjinga..........hapo asubilie tu kupimwa mkojo.........maana warusi hawakawii kumpereka mstali wa kwanza akabanikwe na ukreiniwakati muuaji kakamatwa na kakili kwamba kweli alitega bomu unasemaje? hapo...
Hivi unaweza kumpeleka askari akapigane bila yeye kuridhia si atawaua wenzio.Hao si kama uku tu..........kwani watasema ukweli 😀😀😀😀........hivi wewe kweli mtu atumwe mission possible anasubiri uje umkamate tena kwani yeye mjinga..........hapo asubilie tu kupimwa mkojo.........maana warusi hawakawii kumpereka mstali wa kwanza akabanikwe na ukreini
Mbona video zipo na mmoja kakamatwa yupo nguvuni!Ukiona mpaka kagongwa general wa mipango mingi na taifa kwa ujumla sio mchezo..........tena kauliwa bila kuacha ushahidi kwamba nani kahusika pia sio mchezo........intelligence ya Ukraine ni kubwa sana akisaidiwa na mataifa rafiki....................na pia uwezo anao wa kuthubutu.....
Nikijana wakirusi aliyelipwa dollar 250000 akitekeleza mpango huo akaenda kapaki skuta ya umeme na kwenda kukaa katika gari mbali na remote yake General alivyotoka jamaa akabonya mmoja aliyekuwa anachukua matukio yote yupo mikononi mwa urusi naye ni kijana wa kirusi pia!Watakuwa M16 wana lipiza maana Mrusi kuingia UK kuua anao wataka ni kawaida sana