Mission iliyopo kwa sasa ni KGB kumalizana na Zelensky

Mission iliyopo kwa sasa ni KGB kumalizana na Zelensky

Hzi za ndani inakuaje zinavuja mpk zinawafikia
Itoshe kuamini mtandao wenu ni mrefu wakupata files za Ikulu toka USA, RASSIA, UKRAINE, ENGLAND, ISRAEL, FRANCE na UJERUMANI huku mkiwa Tz vijijini, vocha ya mia tano na miyayo mingi!!
Anyway shame on me[emoji16]
Wewe unacheza na Mbongo iko Ikwiriri anapata za ndani za kutoka Moscow Kilometa zaidi ya 12000, ila cha kushangaza hajawahi kufika Dar es salaam tangu kuzaliwa.
 
Hatari sana mkuu, inaoneka upo viunga vya St-Petersburg tena kremlin kabisa hapo.

anyway warusi ni wagumu sana kwenye mambo ya kimedani japo cowboy aka USA ni mzuri sana naye kwa fitna na indirect kick, Putin awe makini isije ikapigwa tule tumbakishie baba au ana ana anado

Stalini aka the Iron man, alitaka kuondoka Moscow wakati Mwamba wa Berlin alipomjambisha na vijana wake wababe wa kivita aka manazi lakini alighairisha na kuchagua kubaki Moscow na kupiga counter attack iliyowafikisha red army Berlin japo Cowboy aka USA naye alishuka wakampiga mande Hittler.

Let's wait and see.
 
Watakuwa M16 wana lipiza maana Mrusi kuingia UK kuua anao wataka ni kawaida sana

Pale UK FSB operative wako wengi sana, hawa Oligarch wengi wa kirusi wetumika sana kupandikiza FSB pale UK na Germany.

Hii imempa kiburi sana Putin maana inaonekana wanajua target nyingi sana ndani ya West japo watoto wa malkia nao ni wanaishi sana kwenye hii misinambe.
Churchill angekuwa mnyonge watoto wa malkia wangeweza kujisalimisha kwa mhuni Hittler maana tayari Luftwaffe zilishapiga sana hapo Uingereza na watu kujificha sana kwenye subway.

Watu wa Ulaya mikikimikiki ya vita wameizoea sana toka WW1 mpaka WW2 wamezipiga sana.
 
Ukiona mpaka kagongwa general wa mipango mingi na taifa kwa ujumla sio mchezo..........tena kauliwa bila kuacha ushahidi kwamba nani kahusika pia sio mchezo........intelligence ya Ukraine ni kubwa sana akisaidiwa na mataifa rafiki....................na pia uwezo anao wa kuthubutu.....
wakati muuaji kakamatwa na kakili kwamba kweli alitega bomu unasemaje? hapo...
 
wakati muuaji kakamatwa na kakili kwamba kweli alitega bomu unasemaje? hapo...
Hao si kama uku tu..........kwani watasema ukweli 😀😀😀😀........hivi wewe kweli mtu atumwe mission possible anasubiri uje umkamate tena kwani yeye mjinga..........hapo asubilie tu kupimwa mkojo.........maana warusi hawakawii kumpereka mstali wa kwanza akabanikwe na ukreini
 
Hao si kama uku tu..........kwani watasema ukweli 😀😀😀😀........hivi wewe kweli mtu atumwe mission possible anasubiri uje umkamate tena kwani yeye mjinga..........hapo asubilie tu kupimwa mkojo.........maana warusi hawakawii kumpereka mstali wa kwanza akabanikwe na ukreini
Hivi unaweza kumpeleka askari akapigane bila yeye kuridhia si atawaua wenzio.
 
Ukiona mpaka kagongwa general wa mipango mingi na taifa kwa ujumla sio mchezo..........tena kauliwa bila kuacha ushahidi kwamba nani kahusika pia sio mchezo........intelligence ya Ukraine ni kubwa sana akisaidiwa na mataifa rafiki....................na pia uwezo anao wa kuthubutu.....
Mbona video zipo na mmoja kakamatwa yupo nguvuni!
 
Watakuwa M16 wana lipiza maana Mrusi kuingia UK kuua anao wataka ni kawaida sana
Nikijana wakirusi aliyelipwa dollar 250000 akitekeleza mpango huo akaenda kapaki skuta ya umeme na kwenda kukaa katika gari mbali na remote yake General alivyotoka jamaa akabonya mmoja aliyekuwa anachukua matukio yote yupo mikononi mwa urusi naye ni kijana wa kirusi pia!
 
Back
Top Bottom