Mission iliyopo kwa sasa ni KGB kumalizana na Zelensky

Mission iliyopo kwa sasa ni KGB kumalizana na Zelensky

Nikijana wakirusi aliyelipwa dollar 250000 akitekeleza mpango huo akaenda kapaki skuta ya umeme na kwenda kukaa katika gari mbali na remote yake General alivyotoka jamaa akabonya mmoja aliyekuwa anachukua matukio yote yupo mikononi mwa urusi naye ni kijana wa kirusi pia!

Kwa kiswahili tunaita bwege mtozeni aka fake attackers wenye interest wako mile nyingi sana attackers inawezekana hata hawakujua profile ya target, focus yao ni 250000 wakale Bata na kishow off on social media.

The same attacker wangejua profile ya target wasingekwenda kufanya hiyo kazi.
Wamefanyishwa kazi kuuubwa kwa malipo madogo huku usalama wao hakuna aliyejali, it's Russians for russians we don't careHukumu kali inaweza kuwakuta main plotters na sio hawa madogo, hapo ni mwendo wa crackdown na filtration kuanzia kwa wale dili kampanda dili mpaka main characters.
 
Habari,

Zamoto baada ya matukio matatu ya magaidi kuua Raia Urusi na jingine kumuua kiongozi mkubwa wa Jeshi basi Rais Putin ameapa na kusema atalipiza kisasi kwanjia yake ambayo itaishtua Dunia ni swala la muda!

Habari kutoka Kremlin zinasema Rais Putin aliitisha kikao cha dharula na kuwapa jukumu vikosi vyake vya usalama kilichodiliwa ni siri! Ila kwa wachambuzi wanasema ameagiza kichwa cha Zelensky!!

Anakitaka kwa njia yoyote ila kwa maana hiyo operation Zelensky imeanza!

Hili jambo siyo la kushangilia maana hata makombola yatapigwa popote kuanzaia sasa itakapojulikana yupo!

Mkuu we ni nani? Unasema hivi we kama nani!?

"Za ndani kabisa" unatuchukuliaje wabongo wenzio.😁😁😁
 
Habari,

Zamoto baada ya matukio matatu ya magaidi kuua Raia Urusi na jingine kumuua kiongozi mkubwa wa Jeshi basi Rais Putin ameapa na kusema atalipiza kisasi kwanjia yake ambayo itaishtua Dunia ni swala la muda!

Habari kutoka Kremlin zinasema Rais Putin aliitisha kikao cha dharula na kuwapa jukumu vikosi vyake vya usalama kilichodiliwa ni siri! Ila kwa wachambuzi wanasema ameagiza kichwa cha Zelensky!!

Anakitaka kwa njia yoyote ila kwa maana hiyo operation Zelensky imeanza!

Hili jambo siyo la kushangilia maana hata makombola yatapigwa popote kuanzaia sasa itakapojulikana yupo!

Anadhan wenzie wamelala
 
Ukiona mpaka kagongwa general wa mipango mingi na taifa kwa ujumla sio mchezo..........tena kauliwa bila kuacha ushahidi kwamba nani kahusika pia sio mchezo........intelligence ya Ukraine ni kubwa sana akisaidiwa na mataifa rafiki....................na pia uwezo anao wa kuthubutu.....
Putin kawa mandonga tu
 
Back
Top Bottom